King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Bunju B (SOURCE WTV)Nyumba yake ipo wapi?
Muda si mrefu utaletwa ila kwa ile Landscaping, Garden na muonekano kwa nje ni Superb.Wekeni picha ya Mjengo wenyewe.
Kavaa kengele.....Shamsa kaharibu [emoji23][emoji23]
Mkuu usitake kubisha hiyo alioifanya Zama ni dua au Tambiko??we ni muislam au mkristo
unaijua DAMU ya NIFASI wingi wake uchache wake
Unajua maana ya AQIYQAH
unajua katika IMANI hekima ya Siku 3 siku 5 siku 10 siku 7 siku 14 siku 28 siku 40 na miezi 3
na ukisikia DUA we unaelewaje labda
Fake people, fake life. Mimi kinachoniuma sana tena sana wakipata shida vilio na Gov wanaingilia kuwachangia watu ambao hawaingizi kitu serikalini. Kuna watu wanamchango mkubwa kwa kufanya kazi kwa bidii lakini hakuna msaada wowote na hii ndio inachangia kuwa na kizazi fake kama hawa kina dada. Hakuna tatizo na kufanya 40 ni family zote wanafanya na kufurahi. ila mimi binafsi tu hawa watu wanaojiita mastaa sijui ustaa wa nini hata sijui. watakuja kuzeeka vibaya hawa maana hata edit zitakataaHawa ndio maskini wa kutupwa kama huelewi, maisha yao ya Instagram ni maigizo tu, siku hizi wanakunywa konyagi wanasingizia wanakata mafuta kumbe urongo mtupu ni hali ngumu.
Maelezo yako ya 40 ni 100% facts na ndio hasa maana yake ila wazee wa zamani hawakutaka kupeleka ujumbe direct kulinda heshima ya kina mama na kusema 40 ya mtoto lakini hasa ni 40 ya mzazi kuwa sasa anaweza kukutana na mume wake na ndio mke huwa anapambwa kama bibi harusi ila mtoto inatumiwa kupoteza lengo lile kulinda heshima maana kuna mambo zamani linafumbwa wakubwa tu wanaelewa. kwa ufupi maelezo yako hayahitaji zaidi kuongeza ni 40 ya mama mtoto anatumiwa tu kuficha lengo.Masahihisho ktk upotoshwaji wa taratibu za Islam
Kama ni suala la uzazi bhas hiyo 40 ni yake yeye bi Zamaradi na siyo hicho kichanga. Ktk Islam, 40 ni kukamilika/ukomo wa mzazi kuvujwa na damu ya nifas baada ya kujifungua. Kwa upande wa kifo, 40 kwa baadhi ya waislam ina maana nyingine
Ama kukhusu kichanga, yeye ana 7 kwa ajili ya akika, sio 40
Sababu ngozi ni yake na pesa za kununulia makeup ni zakeHuyu Zamaradi ni mweusi (rangi nzuri) lakini anapenda sana aonekane mweupe, sijui kwa nini.
Njoo pm tuyapangeDuh ngoja na Mimi nitafute sponsor nna usongo na huo mjengo mweeeeh
shamsa anapenda nguo fupi ila zinamfanyaga kama fenesi!Wamependeza.View attachment 818689
nahs umependa!Mimi sijapenda alivovaa shamsa kwakweli...
ATAKUWA KUNI KABISA!Aliyeshona gauni ya shamsa hatouona ufalme wa mungu
Ha ha ha mbona unapanick sasa?Sababu ngozi ni yake na pesa za kununulia makeup ni zake
Sio mteja mwenyewe ndio ametakaAliyeshona gauni ya shamsa hatouona ufalme wa mungu