Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Acha kuandika magazeti, JIBU NILICHOKUULIZA.

Nimekuuliza, Unamshukuru Alah kwa Mwaka uliopita huu wa Kanisa ulioanzishwa na Papa wa Kanisa Katoliki?

JIBU HILO SWALI KAMA NILIVYOKUULIZA.
 
Hawakutumia ndiyo maana siyo msingi msingi ni kusherehekea.
Sasa kama hawakutumia kwa nini wewe unatumia?

Msingi wa hoja yako ni kwamba huwezi kusherehekea kwa sababu mitume na manabii hawakusherehekea.... Yaani wewe hufanyi kitu kama mitume hawakufanya.

Sasa swali langu ni hili... Kama mitume hawakuutumia huu mwaka wa Kikristo, kwa nini wewe Unautumia?
 
Kwanza kipindi Cha mitume na manabii hapakuwa na Ukristo hili kwanza weka akilini.

Pili, nikeshakueleza vizuri huko juu nashangaa unarudia swali ambalo nimeshakujibu. Hili tatizo lako Sasa, sa vizuri nilichokiandika.
 
Ukitoka hili hayo mengine yote ni dharura.
Kupanda Gari kunakuwaje dharura? Acha kuchekesha watu.

1. Waislam wanamiliki mabus ya biashara.
Kwa nini hakuna mabus ya wanaume na ya wanawake?

2. Waislam wenye magari private, kwa nini huwa wanajichanganya jinsia zote huko kwenye hayo magari yao?
 
Kupanda Gari kunakuwaje dharura? Acha kuchekesha watu.

1. Waislam wanamiliki mabus ya biashara.
Kwa nini hakuna mabus ya wanaume na ya wanawake?

2. Waislam wenye magari private, kwa nini huwa wanajichanganya jinsia zote huko kwenye hayo magari yao?
Unajua maana ya dharura ? Serikali.inatoa muongozo gani kuhusu usafiri wa imma ? Sasa usiwe mjinga kiasi usihoji mambo kwa ujinga Bali uliza ujibiwe.
 
Before Christ Ni inamuhusu vp nabii issa sijui Ni Nani kwanza huyo issa
 
Bora betting kuliko uislam
 
Unajua maana ya dharura ? Serikali.inatoa muongozo gani kuhusu usafiri wa imma ? Sasa usiwe mjinga kiasi usihoji mambo kwa ujinga Bali uliza ujibiwe.
1. Kwa hiyo Serikali imetoa mwongozo kuwa Wanawake na Wanaume wachanganyike kwenye usafiri wa umma? Huo muongozo uko wapi?

2. Serikali inakataza mtu kwenye gari lake binafsi kutenganisha jinsia kati ya Me na Ke?
Serikali imetoa muongozo kuhusu hili?

Haya maswali yangu yajibiwe vizuri.
 
Hapa umemaliza mkuu.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Kwani mmenyimwa kusherehekea mwaka kulingana na kalenda yenu?
 
Acha kuandika magazeti, JIBU NILICHOKUULIZA.

Nimekuuliza, Unamshukuru Alah kwa Mwaka uliopita huu wa Kanisa ulioanzishwa na Papa wa Kanisa Katoliki?

JIBU HILO SWALI KAMA NILIVYOKUULIZA.


Wewe upo sawa kichwani??-- Unadhani mimi ni mshirikina kama wewe??---soma vizuri hapa; NAMSHUKURU ALLAH KWA "NEEMA" ALIZONIJALIA KATIKA MWAKA ULIOPITA HUO HUO WA KALENDA YA GREGORIAN, mimi huwa si mshukuru Allah kwa ajili ya kuingia mwaka mpya wa Gregorian nk bali namshukuru Allah kwa neema zake na baraka alizonijalia katika mwaka uliopita huo wa Gregorian na hilo sio dhambi katika dini yetu.

Usipoelewa hapo utakuwa na lako jambo.

Mfano leo akija papa na akatoa pesa ya kujengea msikiti tuache kuchukua kwakuwa yeye sio Muisilamu?? au kama tukichukua na kujenga msikiti tuache kumshukuru??!,

Acha fikra za kifanatism katika dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…