Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?

Be open minded. Remove that fighting spirit
 
Maana hiyo waislamu wanaabudu na wako chini ya papa na ukristo

Hiyo kalenda inafuatwa dunia nzima, India, China nk, kote huko hiyo kalenda inafuatwa, je na wao wanaabudu chini ya papa??!--- unaelewa maana ya kuabudu??, mbona kuna Wakristo wameoa mke zaidi ya mmoja kama waisilamu je na wao wanaabudu kiisilamu ??, wameona kuoa mke zaidi ya mmoja kuna manufaa ndio maana wakaamua kufanya hivyo ni hivyo hivyo kwa Waisilamu kama kuna jambo lolote zuri lenye manufaa, lisilopingana na Dini yetu yatupasa tulichukue kutoka kwa yeyote awe Mpagani, asiyekuwa na dini, Muhindu, mbudha, mkristo, nk,

Hakika kila goti kwa Yesu kristo na ukristo litapigwa


Sisi tunaposwali huwa hatupigi magoti, tunaswali kwa kusimama, kurukuu, Kutahyattu na kusujudu mbele ya Mungu/Allah na sio mbele ya Yesu (Mungu-mtu) wenu.

Proud kuwa kwenye dini ya Giants wanao imiliki dunia kila kona

Dini ya Giant inayomiliki dunia kila kona??!!--- Hao si ndio waliingia Africa kama wapelelezi, Wamisionary (watu wa dini) na mwishowe Wakoloni na wakatutawala kimabavu au umesahau??, hao si ndio Walichukua Watumwa-- weusi kwa nguvu kuwapeleka America kwenye mashamba au umesahau??--- hujui kwamba huko Ulaya kwenye huo ukristo watu wameacha kwenda makanisani na wamekuwa Atheists, hujui kwamba Dini ya kiisilamu kwa sasa ndio inashika kasi KUBWA kuliko Dini zingine zote huko Ulaya na sehemu zingine za dunia??--- hayo ndio mambo unapaswa uyaangalie na sio vitu vidogo kama hiyo Kalenda ya Gregorian.
 
Savage ni wewe usiyekuwa na maarifa kwani kila kalenda ina mfumo wake na imeanza lini kutumika.

Ati 1444 hata computer bado haijavumbuliwa kama una maarifa ungejua computer imevumbuliwa lini kwa hiyo Gregorian calendar

Kama dunia ingekua inatumia na kuishi hiyo miaka sijui tungekua bado tuna vaa magome ya miti na kuishi kwenye mibuyu
 
Hiyo kalenda inafuatwa dunia nzima, India, China nk, kote huko hiyo kalenda inafuatwa, je na wao wanaabudu chini ya papa??!--- unaelewa maana ya kuabudu??, mbona kuna Wakristo wameoa mke zaidi ya mmoja kama waisilamu je na wao wanaabudu kiisilamu ??, wameona kuoa mke zaidi ya mmoja kuna manufaa ndio maana wakaamua kufanya hivyo ni hivyo hivyo kwa Waisilamu kama kuna jambo lolote zuri lenye manufaa, lisilopingana na Dini yetu yatupasa tulichukue kutoka kwa yeyote awe Mpagani, asiyekuwa na dini, Muhindu, mbudha, mkristo, nk,




Sisi tunaposwali huwa hatupigi magoti, tunaswali kwa kusimama, kurukuu, Kutahyattu na kusujudu mbele ya Mungu/Allah na sio mbele ya Yesu (Mungu-mtu) wenu.



Dini ya Giant inayomiliki dunia kila kona??!!--- Hao si ndio waliingia Africa kama wapelelezi, Wamisionary (watu wa dini) na mwishowe Wakoloni na wakatutawala kimabavu au umesahau??, hao si ndio Walichukua Watumwa-- weusi kwa nguvu kuwapeleka America kwenye mashamba au umesahau??--- hujui kwamba huko Ulaya kwenye huo ukristo watu wameacha kwenda makanisani na wamekuwa Atheists, hujui kwamba Dini ya kiisilamu kwa sasa ndio inashika kasi KUBWA kuliko Dini zingine zote huko Ulaya na sehemu zingine za dunia??--- hayo ndio mambo unapaswa uyaangalie na sio vitu vidogo kama hiyo Kalenda ya Gregorian.

Yes christianity ndio dini giant duniani hilo halina ubishi

Nchi zote duniani zinaishi katika mifumo ya kikristo kwa namna moja ama nyingine pia tamaduni za kikristo zimetawala maeneo mengi duniani kuanzia hiyo kalenda iliyo asisiwa na papa

Wanasayansi wengi wavumbuzi waliishi katika ukristo

Kama kuteka na kuchukua watu utumwani hata waarabu walifanya sana hiyo biashara wakiwa master slaves pia madalali wa watumwa

Kiufupi ukristo na tamaduni zake ndio unatawala dunia na zaidi unazidi kuenea kwa kasi sana mana hii ndio dini halisi ya Mungu vidini vingine uchwara vinazidi kumezwa na kupotezwa kadri miaka inavyosonga mbele
 
Kwahiyo kila mtu aanzishe kalenda yake tangu pale alipozaliwa au! Yani kuna vitu ukivitafakari vinachekesha sana, wale waislam safi utakuta ndani ana kalenda mbili ya kiislam na hii ya dunia nzima then anakuwa anaangalia kwa kuzioanisha ili kujua sikukuu zao zinaangukia tarehe ngapi na siku gani ktk kalenda ya kimataifa
 
Kwahiyo kila mtu aanzishe kalenda yake tangu pale alipozaliwa au! Yani kuna vitu ukivitafakari vinachekesha sana, wale waislam safi utakuta ndani ana kalenda mbili ya kiislam na hii ya dunia nzima then anakuwa anaangalia kwa kuzioanisha ili kujua sikukuu zao zinaangukia tarehe ngapi na siku gani ktk kalenda ya kimataifa
Kweli ukristo ni maji
 
Unavuka kwenda wapi na kalendar haikuhusu,hizi kalendar ni vitu vya kubuni,wachina wana calendar yao inaanza mwezi wa pili,waarabu wanayao ila zimeouuzwa na ulimwengu
Kalenda ya Waafrika iko wapi nianze kuitumia?
 
Hiyo kalenda inafuatwa dunia nzima, India, China nk, kote huko hiyo kalenda inafuatwa, je na wao wanaabudu chini ya papa??!--- unaelewa maana ya kuabudu??, mbona kuna Wakristo wameoa mke zaidi ya mmoja kama waisilamu je na wao wanaabudu kiisilamu ??, wameona kuoa mke zaidi ya mmoja kuna manufaa ndio maana wakaamua kufanya hivyo ni hivyo hivyo kwa Waisilamu kama kuna jambo lolote zuri lenye manufaa, lisilopingana na Dini yetu yatupasa tulichukue kutoka kwa yeyote awe Mpagani, asiyekuwa na dini, Muhindu, mbudha, mkristo, nk,




Sisi tunaposwali huwa hatupigi magoti, tunaswali kwa kusimama, kurukuu, Kutahyattu na kusujudu mbele ya Mungu/Allah na sio mbele ya Yesu (Mungu-mtu) wenu.



Dini ya Giant inayomiliki dunia kila kona??!!--- Hao si ndio waliingia Africa kama wapelelezi, Wamisionary (watu wa dini) na mwishowe Wakoloni na wakatutawala kimabavu au umesahau??, hao si ndio Walichukua Watumwa-- weusi kwa nguvu kuwapeleka America kwenye mashamba au umesahau??--- hujui kwamba huko Ulaya kwenye huo ukristo watu wameacha kwenda makanisani na wamekuwa Atheists, hujui kwamba Dini ya kiisilamu kwa sasa ndio inashika kasi KUBWA kuliko Dini zingine zote huko Ulaya na sehemu zingine za dunia??--- hayo ndio mambo unapaswa uyaangalie na sio vitu vidogo kama hiyo Kalenda ya Gregorian.
Dubai karuhusu kunywa pombe jana mkuu. Na wazungu ndio walimleta sultan said kutawala Zanzibar na kuuza watumwa
 
Waislam wana kalenda yao hujawahi kusikia mwezi wa shaaban, rajab, ramadan

Au hujawahi kusikia mwaka mpya wa kichina

Wahindi,wayahudi wote wana kalenda zao kutokana na tamaduni zao

Lakini kalenda tunayotumia sasa ya kikristo ya papa Gregorian ndo ya kisasa na imemeza kalenda nyingine zote

Lakini sasa Waislam sio taifa kama hayo mataifa mengine uliyoyataja...
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Unaweza ukapinga ukristo kinafiki ila haukwepeki katika kufuata misingi na miongozo yake...
 
kaka waislam wana muaka wao na nado wako nyuma kwenye miaka ya 14's huu mwaka hauwahusu wanafosi2 kwaiyo hata huu mwaka mpya hawapaswi kusheherekea naomba unipate kwa hilo
Sawa ila neno kaka futa mkuu
 
Ili usiteseke tengeneza kalenda yenu hata ukisema mwaka mmoja una siku 1000 ni weze tu.
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Kama unaamini Nabii Issa A.S(Yesu) ni miongoni mwa mitume 25 katika Uislam!Hoja yako haina mantiki,imekaa kichuki flani ivi...dini zisitufanye tuwe brainwashed.
 
Kwanza Kwenye Ukiristo hakuna Nabii Issa, yupo kwenye Uislam tu. Ukiristo kuna Yesu Kristo.
 
Back
Top Bottom