Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That Jesus Christ is LORD. Sio kwa majambia au risasi au mabomu ila kwa kukiri kwa kinywa bila kulazimishwa na yeyote.Inapendeza sana
"Every knee shall bow and every tongue shall confess"
Haya maifa yanachanganya sana kati ya arabic na non arabic nationsIran sio nchi ya kiarabu.
Umeishia darasa la ngapi bwana mdogo ?
Hiyo ni imani ya watu wachache sana, ila kiujumla waislamu na wakristo wanaishi kwa pamoja kwa amani kabisa.Imependeza sana! Seems Arabs are good people tatizo udini hasa udini wa kujiona wengine wasiokuwa dini yao hawastahili kuwepo ndio unawaharibu.
Umenigusa sana mkuuThat Jesus Christ is LORD. Sio kwa majambia au risasi au mabomu ila kwa kukiri kwa kinywa bila kulazimishwa na yeyote.
Dini yao!!..dini gani!!?..ikiwa hao waarabu kwenye bandiko ni wakristu?!Imependeza sana! Seems Arabs are good people tatizo udini hasa udini wa kujiona wengine wasiokuwa dini yao hawastahili kuwepo ndio unawaharibu.
Mtume aliishi na wakristu na wayahudi,wapo mashariki ya Kati kitambo tuUstaarabu umeingia mashariki ya kati, kuheshimu imani ya mwingine ni jambo jema
Au siyo!!That Jesus Christ is LORD. Sio kwa majambia au risasi au mabomu ila kwa kukiri kwa kinywa bila kulazimishwa na yeyote.
Kwa muktadha wa uzi huu hilo kosa kwamba Iran ni nchi ya kiarabu au la athari zake ni insignificant.Watu hawajua kama Iran (Persian) sio waraabu hata sijui kwann Huwa wafikiria Iran ni waraabu au wanashindwa kutofautisha waraabu na waaislamu
Ubalikiwe sanaThat Jesus Christ is LORD. Sio kwa majambia au risasi au mabomu ila kwa kukiri kwa kinywa bila kulazimishwa na yeyote.
Ikikupendeza; msaidie uelewa kwani wengi wetu (hata mm) nilijua Iran ni nchi ya Waarabu au ni mojawapo ya nchi za Kiarabu. Kumbe nilichemka kabisa.Iran sio nchi ya kiarabu.
Umeishia darasa la ngapi bwana mdogo ?