Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Imezuiliwa na nani? Christmas haipo hata kwenye Biblia, sasa unataka kufanya ngono na malaya siku ya Christmas kuzuiliwe wapi katika mazungumzo ya muktadha huu?Kwani ni wapi imezuiliwa (kifungu gani)watu wasifanye ngono na malaya siku ya Christmas??
Kwenye Biblia zinaa imekatazwa, hujui hilo?