Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab

Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab

Ustaarabu umeingia mashariki ya kati, kuheshimu imani ya mwingine ni jambo jema
Mambo yanabadilika ila kichapo pia kimesaidia sana hao jamaa kuheshimu dini za watu.

Pia issue sio waarabu kwani sio kila mwarabu ni muislam. Issue ni wale itikadi kali ndio wanashindwa kuchangamana na wengine.
 
Confirmed, Yesu sio nabii Issa, nabii Isa ni kitu kingine kabisa. Sikiliza video ya kwanza, wanatamka kitu kama Yesu na lugha wanayo tumia ni Kiarabu, so asitokee muislam mmoja akadanganya eti nabii Isa ndio Yesu kwa Kiarabu, UONGO. Swali ni je, kwanini Quran ilibadiri jina la Yesu tofauti na Yesu anavoitwa kwa Kiarabu? Lazima ipo sababu
 
Au siyo!!
Bro, usilazimishe mambo. Kasome hiyo sura yote, kama umeweza kunukuu kutoka kwa Biblia andiko hilo, why ushindwe kusoma mistari zaidi ya 5 hata page moja haifiki? Ukristo haukuenezwa kwa bunduki, Yesu hakuwahi kuua yeyote, hata waliokuja kumkamata, wanafunzi wake walitoa panga ili wawaue, in fact Petro alimkata sikio mmoja wao BUT Yesu aliwazuia wanafunzi wake na akamponya majeruhi yule; sasa nenda kasome habari za Mohammed, just in 10 years of his rein, kapigana vita 83, kwa wastani, mwaka 1 tu Mohammed kapigana vita 8.3, just imagine. Then leo tutaeashangaa Waislamu kupenda mauaji?
 
Confirmed, Yesu sio nabii Issa, nabii Isa ni kitu kingine kabisa. Sikiliza video ya kwanza, wanatamka kitu kama Yesu na lugha wanayo tumia ni Kiarabu, so asitokee muislam mmoja akadanganya eti nabii Isa ndio Yesu kwa Kiarabu, UONGO. Swali ni je, kwanini Quran ilibadiri jina la Yesu tofauti na Yesu anavoitwa kwa Kiarabu? Lazima ipo sababu
Exactly yes. Yesu sio nabii Issa, nabii Isa ni kitu kingine kabisa. Yesu alizaliwa Bethlehem kwenye hori la ng'ombe. Huyo mwingine (Issa) alizaliwa chini ya mtende huko jangwani.
 
Watu bana humu ndani wanaropoka kama wamelishwa usembe.
Christmas kusherehekewa middle east ilikuwa toka zamani sio sasa tu.
Pia vita za mashariki ya kati sio za kidini ni za kisiasa na madaraka.
Anatokea mpuuzi mmoja anakwambia eti kipondo kimesaidia waarabu kuheshimu dini za wengine.
Akawa amesahau kuwa vita za hapo ni za kisiasa na madaraka.
Acheni ujinga wa udini hauwasaidii kitu mazwazwa ninyi.
 
Confirmed, Yesu sio nabii Issa, nabii Isa ni kitu kingine kabisa. Sikiliza video ya kwanza, wanatamka kitu kama Yesu na lugha wanayo tumia ni Kiarabu, so asitokee muislam mmoja akadanganya eti nabii Isa ndio Yesu kwa Kiarabu, UONGO. Swali ni je, kwanini Quran ilibadiri jina la Yesu tofauti na Yesu anavoitwa kwa Kiarabu? Lazima ipo sababu
Hii itawaumiza sana akina Kimsboy,Ajuna Faizafox na mavaa kobazi mengine hayakawii kusema hao siyo waarabu
 
Back
Top Bottom