Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Iran ni Persian au uajemiIkikupendeza; msaidie uelewa kwani wengi wetu (hata mm) nilijua Iran ni nchi ya Waarabu au ni mojawapo ya nchi za Kiarabu. Kumbe nilichemka kabisa.
Wale ni wa ajemi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran ni Persian au uajemiIkikupendeza; msaidie uelewa kwani wengi wetu (hata mm) nilijua Iran ni nchi ya Waarabu au ni mojawapo ya nchi za Kiarabu. Kumbe nilichemka kabisa.
Usidangaje watu. Umesoma hadi maandishi kwenye kitabu yakawa yanakukimbia. Au? Jina tu linaonesha kitabu kilisalimu amri mbele yako.Darasa la Nne!
Yep! Asipoelewa hapo; basi tena.Iran ni Persian au uajemi
Wale ni wa ajemi
Hiyo Palestina hwbuntuambie ni mjo gani maana dunia ya saaa hivi isije ikawa video za AI tu
"Mungu pamoja nasi" haiwezi kuwa shughuli ya kitoto Mkuu. Hadi malaika "wakaserebuka" usiku ule kwa kuzaliwa mtawala duniani haijapata wala haitapata kutokea tena. Ndio maana Shetani na wafuasi wake wanajitahidi kuipotosha ionekane sio kitu but wamekwama. Yesu Kristo ni Mungu. Amen.Kwa ukweli Christmas ni sikukuu moja ya tamu Sana
Kwa kiarabu ni Yasua. Huyo issa mwingine siyo yesuMbona nawasikia hapo wanamuita YESU KRISTO YASHUA wala hawamuiti issa bin Mariam
Naomba majibu hapo
Kwahiyo huyu issa tumepigwaKwa kiarabu no Yasua. Huyo issa mwingine siyo yesu
Mchana kweupeKwahiyo huyu issa tumepigwa
North Korea hawana Christmas.Inapendeza sana
"Every knee shall bow and every tongue shall confess"
Mkondo gani?Darasa la Nne!
Kwamba Yesu hakuzaliwa au?North Korea hawana Christmas.
Pia, Christmas ni sherehe ya kutungwa na watu tu hata kwenye Biblia haipo.
North Korea hata hawasherehekei Christmas.Kwamba Yesu hakuzaliwa au?
Wanajidanganya sana...Kwamba Yesu hakuzaliwa au?
HayaNorth Korea hawana Christmas.
Pia, Christmas ni sherehe ya kutungwa na watu tu hata kwenye Biblia haipo.
Mkuu kwani kila kitu lazima Biblia iseme? Wewe huadhimishi siku ya kuzaliwa kwako? i.e. birth day yako?.North Korea hawana Christmas.
Pia, Christmas ni sherehe ya kutungwa na watu tu hata kwenye Biblia haipo.
Safi sana Mkuu. Malaika ambao hawakuhitaji ukombozi walisifu kwa shangwe kuu Mbinguni huko kuzaliwa kwa Mwokozi. Ajabu anatokea masalia anasema Krismasi haina maana! Krismasi ni furaha kuu sawa sawa na ujumbe wa malaika.Mkuu kwani kila kitu lazima Biblia iseme? Wewe huadhimishi siku ya kuzaliwa kwako? i.e. birth day yako?.
Mbona imeandikwa kwenye biblia: ".....Malaika akawaambia, "Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote. 11 Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu,..................
13Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema: 14Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao! (Luka 2: 8-14) Je, sisi haifai kuwa na furaha kuu kuisifu siku hiyo ya kuzaliwa kwake?
Nakwambia hivi, kusheherekea Christmas si kumpigia magoti Yesu, watu wanasherehekea huku wanafanya ngono na malaya.Mkuu kwani kila kitu lazima Biblia iseme? Wewe huadhimishi siku ya kuzaliwa kwako? i.e. birth day yako?.
Mbona imeandikwa kwenye biblia: ".....Malaika akawaambia, "Msiogope! Nimewaleteeni habari njema ya furaha kuu kwa watu wote. 11 Kwa maana, leo hii katika mji wa Daudi, amezaliwa Mwokozi kwa ajili yenu,..................
13Mara kundi kubwa la jeshi la mbinguni likajiunga na huyo malaika, wakamsifu Mungu wakisema: 14Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu aliopendezwa nao! (Luka 2: 8-14) Je, sisi haifai kuwa na furaha kuu kuisifu siku hiyo ya kuzaliwa kwake?
Kwani ni wapi imezuiliwa (kifungu gani)watu wasifanye ngono na malaya siku ya Christmas??Nakwambia hivi, kusheherekea Christmas si kumpigia magoti Yesu, watu wanasherehekea huku wanafanya ngono na malaya.
Sasa hivyo ndiyo kumpigia magoti Yesu?