Imezuiliwa na nani? Christmas haipo hata kwenye Biblia, sasa unataka kufanya ngono na malaya siku ya Christmas kuzuiliwe wapi katika mazungumzo ya muktadha huu?Kwani ni wapi imezuiliwa (kifungu gani)watu wasifanye ngono na malaya siku ya Christmas??
We ni kubwa jingaNakwambia hivi, kusheherekea Christmas si kumpigia magoti Yesu, watu wanasherehekea huku wanafanya ngono na malaya.
Sasa hivyo ndiyo kumpigia magoti Yesu?
We ni kubwa jingaImezuiliwa na nani? Christmas haipo hata kwenye Biblia, sasa unataka kufanya ngono na malaya siku ya Christmas kuzuiliwe wapi katika mazungumzo ya muktadha huu?
Kwenye Biblia zinaa imekatazwa, hujui hilo?
Sio tu zinaa imekatazwa kwenye biblia bali hata kwenye jamii wasioijua biblia imekatazwa au haikubaliki i.e. moral standards au Natural laws hazikubaliani na kitendo hicho.Imezuiliwa na nani? Christmas haipo hata kwenye Biblia, sasa unataka kufanya ngono na malaya siku ya Christmas kuzuiliwe wapi katika mazungumzo ya muktadha huu?
Kwenye Biblia zinaa imekatazwa, hujui hilo?
Ukijadiliana na Kiranga unaweza kuchizika. Take care lol.We ni kubwa jinga
This logical fallacy is called ad hominem.We ni kubwa jinga
Kama zinaa imekatazwa kwenye Biblia wanaosherehekea Christmas kwa kuzini siku ya Chrismas hawawezi kuwa wanampigia magoti Yesu, bila kujali kama Christmas imeandikwa au haijaandikwa kwenye Biblia.Sio tu zinaa imekatazwa kwenye biblia bali hata kwenye jamii wasioijua biblia imekatazwa au haikubaliki i.e. moral standards au Natural laws hazikubaliani na kitendo hicho.
Hakuna aliyezuia ngono siku ya Krismasi. Na kama Krismasi haipo basi hayo mengine hayana mashiko pia.
Wairani ni waajemi.Ikikupendeza; msaidie uelewa kwani wengi wetu (hata mm) nilijua Iran ni nchi ya Waarabu au ni mojawapo ya nchi za Kiarabu. Kumbe nilichemka kabisa.
Hao waache tu wauawe na Ukraine wapukutikeNorth Korea hata hawasherehekei Christmas.
Na kuna watu wanasherehekea sikukuu nyingi tu kupata good time si kumpigia magoti mwenye sherehe.
Logical non sequitur fallacy.Hao waache tu wauawe na Ukraine wapukutike
Issa bin mariam ni mtume wa waislam kama ilivyokua kwa muhammad. Wakristo tunamtambua Yesu wa Nazareth mkombozi wa ulimwengu na sio IssaMbona nawasikia hapo wanamuita YESU KRISTO YASHUA wala hawamuiti issa bin Mariam
Naomba majibu hapo
Hakuna anyejua Waislam walitoa wapi Hilo Jina Issa 😂Mbona nawasikia hapo wanamuita YESU KRISTO YASHUA wala hawamuiti issa bin Mariam
Naomba majibu hapo
Halafu utasikia chotala wa kiislamu Zanzibar haongei na jirani yake anamuita kafiriSherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab ikiwemo watu wa Palestina
View attachment 3184780
View attachment 3184781
View attachment 3184782
View attachment 3184783
View attachment 3184785
View attachment 3184786
SahihiIssa bin mariam ni mtume wa waislam kama ilivyokua kwa muhammad. Wakristo tunamtambua Yesu wa Nazareth mkombozi wa ulimwengu na sio Issa
AI, bado haijafika kiwango cha kutengeneza video za Aina hiyo...Hiyo Palestina hwbuntuambie ni mjo gani maana dunia ya saaa hivi isije ikawa video za AI tu
Duh kwahiyo kumbe issa ni jina la mchongoHakuna anyejua Waislam walitoa wapi Hilo Jina Issa 😂
Hata kwa Lugha ya Kiaramu aliyotumia kuhubiri alikuwa anaitwa Yeshu sasa
Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab ikiwemo watu wa Palestina
View attachment 3184780
View attachment 3184781
View attachment 3184782
View attachment 3184783
View attachment 3184785
View attachment 3184786