Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
Kuna sumu ya kidini inaendelea humu ndani...stooooop....... nendeni kupiga mswaki vinywa vyenu vinanuka harufu ya kidini. Vinywa ni vichafu na vinafaa kulaaniwa na watanzania wote bila kujali dini zao.
Mungu ibariki nchi yetu
Wabariki watanzania wote bila kujali dini zao
Mungu ibariki nchi yetu
Wabariki watanzania wote bila kujali dini zao