Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iv huyu ridhiwani ni nani!!nimemuona anashuka kwenye gari ya hatari anafunguliwa mlango huku akiwa na security,najiuliza mimi na riz1 tuna tofauti gani!!kweli hapa tumepata uozo tu jamaa ajajifunza chochote kwenye haya matokeo,wananchi tufunge mkwiji coz khali ni mbaya bora tutokako kuliko tuendako.
kasababisha mwenyewe atibu mwenyewe!anashukuru kuwa kutokana na mchangamsho huo kua kazi ya kukuza demokrasi
na kusisitiza kua yaliopita si ndwele tugange yajayo
kazi iliopo na kujitahidi kushirikiana kutibu majeraha tulioisababishia nchi
nilifikiri kutoka zanzibar watatuletea Mbwa kachoka .....!
mtu wa pwani vipi? 😀
wewe na vibaraka wa shetani Slaa, jaribuni kufanya fujo.
kasababisha mwenyewe atibu mwenyewe!
sasa hii ya leo haijanoga ......wala sijaweza itofautisha na ile ya mwanzo
hii ni kwa kuonesha kua hata Zanzibar watanganyika wapo
na slaa amekosa mlo wa mchana sasa watu wanaelekea kutafuna kuku