Nipo karibu na gereza la Ukonga naenda gettini kuwapokea Kina NguzaJamaniii aiseeee nimefurahi wale watu kuachiwa huru,. Hata kama walifanya unyama lakini wamekoma na wamejifunza sasa warudi kwao wasirembe tena hapa bongo,...dah,
Bado ana kinyongo cha kumegewa kwani!?au...?Duh JK itamuumaje
Lazima itakuwa hivo mkuuu...Kumegewa kunauma sana [emoji23] [emoji23]Bado ana kinyongo cha kumegewa kwani!?au...?
wajanja hapo wanajipanga fasta kupiga mpunga..Dr shika kwaheri..ashazimwaukitaka ujue kwamba hawa pipo nyota zao zina nguvu basi wafanye Tamasha siku ya krismasi waliite "THE RETURN OF BABU SEYA" wataingiza mitonyo balaaa!!!
Hahahahaa chizi wewe
wani nyie kwenu wote Wapumavu!?Nilishasema kitambo kuwa nchi sasa iitwe nchi ya ccm, isiitwe tanzania, tunaomba nchi hii itambulike ni nchi ya ccm tuvae kijani mwanzo mwisho
Umeongea lugha ganiwani nyie kwenu wote Wapumavu!?
Hivi hawa waliokua wanamegwa ni nani alikua mmiliki wake?Bado ana kinyongo cha kumegewa kwani!?au...?
wajanja hapo wanajipanga fasta kupiga mpunga..Dr shika kwaheri..ashazimwa
Hii kete haitawaacha salama upinzani, watapotezwa kabisa!! Hapa no offense, JPM kawapiga jamaa supa ya draft.
Naunga mkonyo hoja mkuu, moyo unaniuma sanaWanajeshi wengine wapelekwe DRC tukalipe kisasi kwa ADF wameua askari wetu wengi sana roho inaniuma
Hahaaaa kidogo bana, yaani tumeshangilia nyumba nzima tulivyosikia kaachiwa..
hahaaaaaNitashangaa sana kama makomandoo wa kuvunja matofari kifuani nao watakuwepo uwanjani.
.Dah kaiba idea ya Lowasa
Nina furaha sana babu seya kuachiwa huru....
Allah amsimamie katika maisha yake mapya ya uraian insha Allah