king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,149
Kwa Hyo Lulu Bado Anasota Segerea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah Atimize sasa nadhiri yake ya kutangaza neno la Mungu akiachiwa kama alivyo ahidi,Huku pia wameshangilia utadhan man u kampiga vibaya mno man city
Hata mm sina hakika na jambo hilo mkuu....Hivi hawa waliokua wanamegwa ni nani alikua mmiliki wake?
Je!? Walikua ni watoto wa mtu au ni wake za watu!?
Hebu nijuze hapo mkuu.!
Subiri nawewe watoto wako wafanyiwe hayo then uwasamehe hao mabaradhuliJamaniii aiseeee nimefurahi wale watu kuachiwa huru,. Hata kama walifanya unyama lakini wamekoma na wamejifunza sasa warudi kwao wasirembe tena hapa bongo,...dah,
Daaah[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani yy hamegei watu,au ndio mkuki kwa nguruweeLazima itakuwa hivo mkuuu...Kumegewa kunauma sana [emoji23] [emoji23]
Aiseee ningekuwa jirani ningekuunga mkono,usisahau kapicha ka furaha+huzuni mkuuNipo karibu na gereza la Ukonga naenda gettini kuwapokea Kina Nguza
Ma mwehu mpo wengi mnaojipa Moyo,hivi bado unajipa Moyo kuwa kwa miaka ya karibuni upinzani utashika dola? Kama jibu lako ni ndiyo basi u mwehu umetamalaki ktk ubongo wakoHata angewafufua marehemu waliokufa ila 2020 lazima atoke upinzani utawale. Live Long babu seya
Kampeni yenyewe imeanza kufeli Jana hiyo hiyoNapenda hizi sherehe ziwe zinajitofautisha na mambo ya siasa na vyama.
Jana nimesikitika sana kuona kampeni ya uzalendo ikigubikwa na uchama.
We have a long way, very long way to go and it is likely we will never get there.
Kuachiwa kwa Babu Seya ni agenda ya ENLHahahaaaaa Magu 2020 atapeta kiulaini sana!
Ahahahahaaaa.
Hawa wanatofauti gani na wanaovaa uniform za chama bungeni? Wengine tukisema wafuasi wa hivi vyama ni misukule tunaoga matusi toka pande zote
Mpaka 2019 hatokosa jambo,kama atakosa basi litaibuliwa tuu la kuelekea 2020....Hii ya kuwaachia akina Babu Seya angeifanya 2019
Potelea pote,...duniani tuna sheria lakini hukumu/kisasi ni cha MUNGU.Subiri nawewe watoto wako wafanyiwe hayo then uwasamehe hao mabaradhuli
Mjinga mama yako, shwaini we!Ujinga ujinga tu