Sherehe za Muungano bila Amiri Jeshi Mkuu ni sawa?

Sherehe za Muungano bila Amiri Jeshi Mkuu ni sawa?

Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Mkuu kwani inachukua muda gani kutoka America kufika Tanzania? Nimeona kuna ratiba ya kuzindua Royal Tour tarehe 28 April 2022 huko Arusha. Nina imani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yenye silaha ,Mh Samia Suluhu Hassan, atakuwepo siku ya tarehe 26 April 2022 kupokea heshima za kijeshi toka kwenye majeshi yetu.
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Awepo asiwepo hakuna la maana
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Chuma kitakuwepo
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Je kama anatua leo?
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?

Sherehe za Muungano bila Amiri Jeshi Mkuu ni sawa mliyataka wenyewe.​

 
Duu JF imevamiwa. Ni wapi mleta mada umeona kuwa raisi hatakuwepo. Kabla haujaleta uzi hapa jaribu kwanza kufanya utafiti kwenye mtandao mbalimbali kisha jiridhishe halafu ndio uje hapa kubandika uzi wako. Toka wiki iliyokwisha habari zipo mitandaoni humu humu zikionyesha tena kuna bango linaloonyesha picha za Mwinyi na Samia watakuwepo ukumbini Dodoma hiyo tarehe 26/04/2022.
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Sherehe ziahirishwe hadi arudi
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
we una kihehere nani kakuambia hatakuwepo
 
Hayo maadhimisho kwa sasa hayana mvuto

Maraisi wote wanatoka upande moja 'Zanzibar', hata tafsiri ya kuungana haionekani
Hamna raisi anayetoka Zanzibar hao ni ndugu zenu wakwere wa mkuranga mliowaweka Zanzibar kwa mtutu wa bunduki
 
All in all, unaweweseka na Royal tour nothing else!!
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
 
Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.

Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.

Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.

Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?

Hii inaleta picha gani?
Rais akiwa nje je Nchi inakosa amiri Jeshi mkuu? VP Kazi yake ni ipi?

Hizi si ndio sherehe Jiwe alikuwa anazipuuzia?
 
Back
Top Bottom