Sherehe za Muungano bila Amiri Jeshi Mkuu ni sawa?

Utakufa bure kwa sonona uliyekuwa ukimpenda ameshakufa na harudi tena(bila shaka ulimpendea roho mbaya yake) na usiyempenda ndiye yupo tena hadi 2030 sasa jiulize utaumia kiasi gani!
 
Utakufa bure kwa sonona uliyekuwa ukimpenda ameshakufa na harudi tena(bila shaka ulimpendea roho mbaya yake) na usiyempenda ndiye yupo tena hadi 2030 sasa jiulize utaumia kiasi gani!
Unafikiri kwa kutumia makalio
 
Utakufa bure kwa sonona uliyekuwa ukimpenda ameshakufa na harudi tena(bila shaka ulimpendea roho mbaya yake) na usiyempenda ndiye yupo tena hadi 2030 sasa jiulize utaumia kiasi gani!

Hata mashabiki wa Magu(RIP) walikuwa wanasema hivyo hivyo kama wewe usemavyo kwa Samia kuna msemo kwamba nothing is promised in life except death, usisahahu Samia ni mzee tayari she is over 60, …
 
Mkuu ni Kweli hiyo filamu imegharimu 7 bilioni?
 
hata kuzindua sijui kupuyanga U.S Waziri wake wa utaliii na nyanja husika plus board zingemaliza tu huo mchezo. unajua tabu mkishauriwa vema mnaona kama ni attacks! Yaani unaona sherehe ama maadhimisho ya Muungano is nothing? sovereign ya Nchi inatokana na nini?
 
Kwa hiyo majeshi yetu yanatoa amri ya utii kwa kiongozi yoyote tofauti na rais wa JMT?
 
wawepo wasiwepo hakuna impact yoyote kwa wananchi wa kawaida.
 
Mbona hamkumwambia haya mungu wenu wa Chato?
 
Kwahiyo hoja yako sio sherehe bali ni nongwa kwanini Rais amesafiri? Hapo nimekuelewa Mkuu.
Ina maana hawa yatima mpaka leo hujawajuwa tu?

Hata ile Ruby ambayo iko Dubai iliondoka Tanzania mwaka 2007 lakini wao wanaweweseka na mama ndio mwenye makosa.
 
Mama na wanzanzibari wote wanatambua siku ya kuzaliwa jamhuri ya Zanzibar dec 12 zaidi. Haya Kazi iendelee .
 
Mh iv wtz hatuna cha kufikiria maana umekuwa nchi ya malalamiko
 
Hizo sherehe zina manufaa gani na mtoto asiekuwa na dawati na dawa na choo ?
Hela zinapigwa kijinga sana
Kila sherehe hela zinatumika tu bila mpangilio

Magu kwa Hilo aliliweza tumpe [emoji3581] hapo
Alikuwa anaamua tu zielekweze mahali fulani
Nasema uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…