hata kuzindua sijui kupuyanga U.S Waziri wake wa utaliii na nyanja husika plus board zingemaliza tu huo mchezo. unajua tabu mkishauriwa vema mnaona kama ni attacks! Yaani unaona sherehe ama maadhimisho ya Muungano is nothing? sovereign ya Nchi inatokana na nini?
Is lack of planning. Very poor planning indeedMkuu wa nchi huwezi kuacha kuhudhuria sherehe kama hii kisa tu upo Usa unazindua filamu.
Kwa hiyo majeshi yetu yanatoa amri ya utii kwa kiongozi yoyote tofauti na rais wa JMT?
Hivi mafaili huwa anayapitia saa ngapi?maana mwenzie jiwe aliwahi kutuambia alikua analala na mafaili kitandani pamoja na usiriazi wake wote ule.Anarudi leo.. kesho atakuwepo kwenye sherehe za Muungano halafu Tarehe 28 atahudhuria Royal Tour ARUSHA
Yupo Dr Hussein mwinyi wa mkurangaKama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.
Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.
Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?
Hii inaleta picha gani?
ExactlySio jambo complex kihivyo, nyie ndio mnaona ni jambo la hatari kwa hivyo. Ingekuwa iko sensitive kihivyo uchaguzi ungekuwa unaheshimiwa.
Enzi zile Sherehe fulani ya Kitaifa ilipangwa kufanyika Mkoa wa Simiyu. Mkuu kaona si vyema ni Bora fedha Ile itumike kwa maendeleo ya wananchi na akawapiga stop wote kwenda huko Simiyu. Sasa kimbembe kuna wahusika toka mikoani wakiwa njiani wakapata hiyo taarifa na imprest wameshakula tayari. Ilikuwa patashika nguo kuchanika. Watazirudishaje hizo pesa na wanajua fika jamaa keshawaambia watabanwa mpaka wazitoe katika tundu lolote kwenye miili yao. Wengine mtashangaa lakini huo ndio ukweri.Ni sherehe zilizo kimazoea tu lakini hakuna lolote la maana zaidi ya watu wa serekalini kupiga imprest.
Nani aliyekwambia hatakuwepo?Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.
Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.
Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?
Hii inaleta picha gani?
Tarehe ipi hiyo ya kushereDunia nzima kila taifa linasherehekea kuzaliwa kwake.
Kukurupuka bila ushahidi imekuwa hulka ya wengi hapa JF siku hizi.Kama ibara ya kwanza ya katiba ya JMT inavyotanabaisha ni kuwa Tanzania ni dola huru ambayo ni jamhuri ya muungano.
Jamhuri ya muungano wa Tanzania ilizaliwa mwaka 1964 siku ya tarehe 26 mwezi wa nne.
Ibara ya 33 ya katiba ya JMT inatanabisha wazi kuwa rais ndie mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu.
Kusherehekea siku kuu ya kuzaliwa JMT huku mkuu wa nchi hayupo ni sawa kweli?
Hii inaleta picha gani?
Lile bedui linachezea kichapo tu huko lilipo.Unafikiri kwa kutumia makalio
Tarehe ipi hiyo ya kushere
Kukurupuka bila ushahidi imekuwa hulka ya wengi hapa JF siku hizi.
Nani kakuambia Rais Samia Suluhu Hassan hatakuwepo Nchini kwenye Sherehe za Muu
Tarehe ipi hiyo ya kushere
Kukurupuka bila ushahidi imekuwa hulka ya wengi hapa JF siku hizi.
Nani kakuambia Rais Samia Suluhu Hassan hatakuwepo Nchini kwenye Sherehe za Muungano?