Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 754
- 432
Vipi unaishiwa nguvu tukuletee ambulancecomments za hili bandiko hazifiki hata 200 licha ya muhusika kuongea muda wote huu mpaka sasa amemaliza hizi ni dalili kuwa magufuli amechuja sana aachane na mpango wa kugombea urais tena.
ukitaka kupiga pesa buni project ya maBilioniHivi pale magogoni kwa hyo pamefungwa???
Sio kweli. Hata kama mazingira yanaifanya kupitwa na wakati?Kujenga Ikulu miaka 60 baada ya Uhuru ni uduanzi.
Watajenga Hai hotel Aishi. DISCO kila kijijiChukueni nchi basi BAWACHA tuone na nyie mtakachofanya
Ndg Hayo ni maoni yko tu nadhan hayataKwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!
Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
Nimesoma ulichoandika nikasinzia.Ndg Hayo ni maoni yko tu nadhan hayata
badili uhalisia.
Binafsi maoni yangu ni Vema hyu rais wetu JPM akae kwenye Kiti hcho mpaka miaka ishirini ipitee au apewe hata ukiranja kwa marais wote wa Africa ,
JPM KIONGOZ WA KUIGWA, ANAMTEGEMEA MUNGU HANA CHA PAPALA ,
ANASIMAMIA MASLAHI YA NCHI KWA WELEDI.
yaani mpaka nahic nchi nyingi duniani zinatamani awe rais wao
Daah, nahc nkimponda ntakuwa
Mnafiki
Na kule Kenya aliwapa[emoji44]Naona msukuma mwenzangu kaanza kutoa Takrima. Ndege tausi 25 kwa kila Rais mstaafu. Naona kaona aibu maana yeye alishapeleka Tausi kwake Chato muda mrefu tu.
Hivi ikulu, kwa lugha ya kibiashara, ni asset au liability? Kwa nchi yetu ilivyomaskini, juzi tu tumeomba mkopo kutoka ufaransa kwa ajili ya miradi ya maji harafu leo, tunatenga pesa kujenga ikulu, nyingine, Dodoma ipo ikulu ndogo Eneo la uzunguni, akili za mtu mweusi.
Ingekuwa Raisi yupo akiwapokea wataaalamu wetu waliorudi kutoka masomoni Karl nyanja za kilimo, sayansi, au angekuwa amefungua kiwanda cha kwanza cha vitu vya IT, ingekuwa poa sana, sasa hilo li ikulu, linaongeza gharama tu, umeme, maji, matunzo, fucking Black Africans brain!
Si tija kiuchumi,labda kwenye sifa anataka akumbukwe kupitia majengo thus anajenga uwanja wa mpira Chato usio na tija kiuchumi
Tunawekeza kusipotija halafu tunalaumu mabeberuHuo uwanja wa Chato utakuwa kama ule wa Ally Hassan Mwinyi wa Tabora. Siku akitoka madarakani utageuka pagara.
Hivi hao ndege wana nini unique?
Hivi tausi wanaliwa
Chumbani kwako, kwani uvioni?Hata viwanda tuliambiwa vipo 4,000 sijui vipo wapi.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Mbona unabwabwaja kama umekalia kitu chenye ncha Kali, ?? Mara Arusha yote ,mara dicteta, mara eneo kubwa lina madhara, sasa nini msimamo wako ? Na zaidi ya hapo je ndio madaraka uliopewa wewe au ni maoni yako ambayo yapo yapo yanaeleaelea?Kwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!
Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
Basi unaona umetoa hoja ya maana kweli!Kwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!
Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
Yani wewe bila shaka ndio utakuwa kicheche wa MsogaKwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!
Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
Ahahahajiwe anaweka jiwe