Hivi ikulu, kwa lugha ya kibiashara, ni asset au liability? Kwa nchi yetu ilivyomaskini, juzi tu tumeomba mkopo kutoka ufaransa kwa ajili ya miradi ya maji harafu leo, tunatenga pesa kujenga ikulu, nyingine, Dodoma ipo ikulu ndogo Eneo la uzunguni, akili za mtu mweusi.
Ingekuwa Raisi yupo akiwapokea wataaalamu wetu waliorudi kutoka masomoni Karl nyanja za kilimo, sayansi, au angekuwa amefungua kiwanda cha kwanza cha vitu vya IT, ingekuwa poa sana, sasa hilo li ikulu, linaongeza gharama tu, umeme, maji, matunzo, fucking Black Africans brain!