N Naland JF-Expert Member Joined Dec 8, 2021 Posts 716 Reaction score 1,260 Oct 6, 2023 #21 Mfano murua kabisa Kwa hili ni Ile kesi ya mwabukusi, mahakama ilitoa hukumu Kwa kuheshimu mamlaka nyingine!
Mfano murua kabisa Kwa hili ni Ile kesi ya mwabukusi, mahakama ilitoa hukumu Kwa kuheshimu mamlaka nyingine!
L lugano27 JF-Expert Member Joined Sep 3, 2016 Posts 217 Reaction score 390 Oct 6, 2023 #22 Ila kweli jamani, maana hata tukitembelewa na waamuzi wetu askari wengi wanawalinda wao kuliko sisi huku ambako tunachangamana na vibaka!
Ila kweli jamani, maana hata tukitembelewa na waamuzi wetu askari wengi wanawalinda wao kuliko sisi huku ambako tunachangamana na vibaka!
Kinkunti El Perdedo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 5,200 Reaction score 12,762 Oct 6, 2023 #23 Unguvu ni haki (might is justice), wachache wanalifaham jambo hiki.