Sheria inasema nini kuhusu faragha za watu?

Sheria inasema nini kuhusu faragha za watu?

Mshamba ni wew unaedhani unaweza park gari pembeni ya barabara au beach ukamgonga malaya uliemnunua...!! Kama una hela ya gari huna ya lodge kopa maana huwezi mpeleka kwako malaya uliemnunua...[emoji3][emoji3][emoji3]
Hizi tabia mbona nchi za wenzetu hamna? Ndio maana nataka tafsiri ya kisheria tu...

Wengine hatuna muda wa kushinda Lodge huduma ile inachukua madakika sasa kwanini nikakodishe lodge? Shughuli ni nyingi
 
Hizi tabia mbona nchi za wenzetu hamna? Ndio maana nataka tafsiri ya kisheria tu...

Wengine hatuna muda wa kushinda Lodge huduma ile inachukua madakika sasa kwanini nikakodishe lodge? Shughuli ni nyingi
Kwa hiyo wew unaishi juu ya miti mkuu kwamba huwezi rudi na mtu kwako mkakulana.. sababu shughuli ni nyingi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wangeruhusu huo utaratibu magari yangekuwa madanguro mchana kweupe
 
Kwa hiyo wew unaishi juu ya miti mkuu kwamba huwezi rudi na mtu kwako mkakulana.. sababu shughuli ni nyingi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wangeruhusu huo utaratibu magari yangekuwa madanguro mchana kweupe
Swala sio kuruhusu swala ni wivu tu!
Kwangu sipeleki malaya mkuu!
 
😂😂 naendelea kusoma comments
 
Swala sio kuruhusu swala ni wivu tu!
Kwangu sipeleki malaya mkuu!
Kwani anaekushika yeye hana wanawake ausio[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukute anao wakali na wazuri kukuzidi ila anakufundisha how to behaviour unajua vijana tukipata vijihela kidogo inakua shida
 
Kwani anaekushika yeye hana wanawake ausio[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ukute anao wakali na wazuri kukuzidi ila anakufundisha how to behaviour unajua vijana tukipata vijihela kidogo inakua shida
Swala linaanzia hapo kwamba kwanini anishike kama vile nafanya jinai? Hapo hana shughuli za kufanya au na asilimia ya wanaovamia watu faragha ni ule wivu kuwa muhuni anainjoy utelezi😂
 
Back
Top Bottom