Sheria inasema " Pesa za noti zote zihifidhiwe kwenye waleti wakati wa kuzibeba au kusafili"

Sheria inasema " Pesa za noti zote zihifidhiwe kwenye waleti wakati wa kuzibeba au kusafili"

noti inakunjwa alafu inawekwa kwenye kidosho kile kimfuko kidogo cha suruali ya jeenz,ikitolewa mpaka unaionea huruma ilivyo kunjwa.
👆
hii ni kufubaza noti haifai kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom