Sheria inasemaje kwenye kufanyakazi bila kuwa na mkataba

Sheria inasemaje kwenye kufanyakazi bila kuwa na mkataba

Blessing92

New Member
Joined
Jan 9, 2019
Posts
1
Reaction score
0
Sheria ikoje ktk kesi ya hasara (loss) ilitokea dukan ikiwa hakuna mkataba kati ya mfanyakazi na boss
 
Sheria ikoje ktk kesi ya hasara (loss) ilitokea dukan ikiwa hakuna mkataba kati ya mfanyakazi na boss
Kwanza ni kosa, lakini usisahau kuwq mkataba mala nyingi unamlinda mfanyakazi wala sio bosi hivyo basi kwa habari ya hasara ikitokea anaweza bosi kukushtaki kama mwizi tu Lkn wewe ukiwa huna mkataba anaweza asikupe stahiki zako ndio maana kuna baadhi ya waajiri hawatoe mikataba kwa kuwa kile nikifungo kwao
 
Back
Top Bottom