Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Je, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
KWA sasa tunaishi na siro mzee wa double standard 😳Je, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
Mbona mnashupalia sana hili...!!!??Je, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
Huenda mama Samia anatengeneza mkeka wa Mawaziri wengine .Kuna nafasi ambazo hua ni lazima ziwe na watu,hata kama mtu kafariki leo! Mfano AG wa Serikali! Rais anapokula kiapo tu, mtu wa kwanza kabisa kuteuliwa huwa ni AG wa Serikali. Maana yake nini kwamba Serikali haiwezi fanya kazi zake bila ya ushauri wa kisheria toka kwa AG!
Twende kwenye mada yako! Waziri wa Ulinzi yuko pale kama Ceremony tu! Maana hana kazi kubwa sana kama kazi za Mawaziri wengine! Waziri wa Ulinzi hua anawakilisha jeshini bungeni tu na bungeni penyewe, hawezi sema wamenunia nini na nini, zaidi yakusoma bajeti yao tu!
Nina uhakika CDF anaongea na Rais zaidi ya Waziri wa Ulinzi! Kwahiyo ndiyo maana tangu Waziri Elias Jonh Kwandikwa,aliyekua Waziri wa Ulinzi, kufariki hadi sasa hivi hajateuliwa Waziri mwingine, kuziba nafasi yake! Hii inawezekana kabisa!
Hii mitandao ipo kwa ajili ya watu kukutana nakujadili au kufahamishana mambo mbalimbali.hayo ya kijinga ya kushupalia baki nayo mwenyewe.Mbona mnashupalia sana hili...!!!??
Kwani hata asipokuepo wewe inakupunguzia nini!??
Haya mambo tusiyachukulie juu juu yana msukumo mkubwa sana kiroho.. Hiki kitete sio cha bure na hakuna anayeweza kuki contolJe, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
Mbona Magufuli alikaa miezi 3 bila Baraza la Mawaziri na Tanzania iliingia kwenye Uchumi wa kati?Je, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
Ni utashi tu wa Rais,kazi za wizara zinafanywa na katibu mkuu.Je, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
Awe asiwepo hakuna manufaa yoyote kwa taifa kwanza ni hasara tupuJe, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?
Pia hakuna kazi yoyote imekwama tangu amefarikiNi utashi tu wa Rais,kazi za wizara zinafanywa na katibu mkuu.
Kila Rais ana moyo wake,mama kaona asubiri walau 40 ipite,atateua tu
Ni jinsi atakavyoona inafaa, cha muhimu ni Wizara siyo Waziri. Mtendaji mkuu ni Katibu Mkuu, wakuu wa vikozi jeshi anga nchi kavu wapo. Rais ndiye Waziri ya Ulinzi.Je, Kuna sheria inayomtaka Rais kuteua Waziri wa Ulinzi baada ya muda fulani pale anapotenguliwa, kuacha uwaziri au kufariki?
Kama hakuna sheria je Kuna ulazima wa kuwa na Waziri wa Ulinzi? Na je Nini kilimsukuma JPM kuteua Waziri wa sheria Mara tu Mzee Maiga alipofariki?