KERO Sheria inayompa mamlaka makubwa DPP, kuwa apeleke au asipeleke kesi mahakamani, ni mbaya na inafaa ifutwe

KERO Sheria inayompa mamlaka makubwa DPP, kuwa apeleke au asipeleke kesi mahakamani, ni mbaya na inafaa ifutwe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Miongoni mwa sheria mbovu sana zilizopo nchini ni inayompa mamlaka DPP ya kuweza kupeleka au kutopeleka kesi yoyote ya jinai, inayomkabili mwananchi yeyote na asitoe sababu za kutoipeleka kesi yoyote Ile mahakamani!

Hii ni sheria mbovu sana, ambayo ilitungwa Kwa nia ya kuwafanya baadhi ya wananchi kuwa ni "untouchables"

Nalielezea hili baada ya Jeshi la Polisi, kutamka hadharani, kuwa limeshakamilisha uchunguzi wake wa kesi inayomkabili yule Mama anayetambukika Kwa jina la "afande" na wamelipeleka jalada la kesi hiyo Kwa DPP, Ili eti aamue kuipeleka au kutoipeleka kesi hiyo mahakamani!

Hivi Kwa kosa kubwa kama hili la kuagiza vijana watano waende wakambake yule Binti Kwa kile kinachoitea " rape gang" ambayo Kwa Kila mwananchi aliyesikia huu mkasa anahuzunika sana, sasa inashangaza kusikia kuwa Jeshi la Polisi, limeshakamilisha upelelezi wake, lakini limepeleka jalada la kesi hiyo Kwa DPP, Ili akiamua apeleke kesi hiyo mahakamani na vile vile akiamua asiipeleke kesi hiyo mahakamani na hakuna raia yeyote mwenye mamlaka ya kumuhoji, Kwa nini hajapeleka kesi hiyo mahakamani!😚

Hii sheria ni mbovu sana, ambayo ilitungwa maalum Kwa kuwakinga baadhi ya watu mashuhuli nchini, Ili hata wakitenda makosa makubwa ya jinai ya aina Gani, Ili wajue kuwa wanayo kinga Kwa DPP.

Eti sheria hiyo imempa mamlaka hayo ya kupeleka au kutoipeleka kesi yoyote Ile na Wala asiulizwe sababu za kutoipeleka kesi yoyote mahakamani!

Hawa watawala wetu, wasitufanye sisi watanzania wote kuwa ni wajinga sana, kiasi Cha kututungia sheria za aina hiyo za ubaguzi wa dhahiri ambapo DPP ataangalia hadhi ya mtuhumiwa na kuamua kutoipeleka kesi yake mahakamani na kuamua kupeleka kesi za walala hoi pekee wasio na kinga hiyo ya DPP na kupeleka kesi zao mahakamani!

Hii sheria inaji-contradict na sheria mama ya Katiba ya nchi, inayosema kuwa watu wote nchini, wako sawa mbele ya sheria.

Nitoe wito Kwa waheshimiwa wabunge wetu, wapeleke muswada wa dharura Bungeni, Ili kuibadili sheria hii, ambayo inaonyesha upendekeo wa dhahiri Kwa watu wachache, wenye hadhi mbalimbali hapa nchini.

Mungu ibariki Tanzania
 
Kuna shida gani katiba kuruhusu private prosecution..? Kwa hili tu la dpp kuwa prosecutor pekee kwa kesi zote za jinai nawaona Lawyers wote hawafai..huwezi kukalia kimya ujinga wa aina hii uendelee baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru, halafu siku ya siku tunaulizana mchawi wa rushwa yuko wapi kwenye mfumo wa haki jinai wakati mchawi ni sisi wenyewe kukalia kimya ujinga kama huu!
 
Nchi kadhaa duniani especially the Commonwealth ma-DPP wana madaraka hayo na sio Tanzania peke yake.
 
Miongoni mwa sheria mbovu sana zilizopo nchini ni inayompa mamlaka DPP ya kuweza kupeleka au kutopeleka kesi yoyote ya jinai, inayomkabili mwananchi yeyote na asitoe sababu za kutoipeleka kesi yoyote Ile mahakamani!

Hii ni sheria mbovu sana, ambayo ilitungwa Kwa nia ya kuwafanya baadhi ya wananchi kuwa ni "untouchables"

Nalielezea hili baada ya Jeshi la Polisi, kutamka hadharani, kuwa limeshakamilisha uchunguzi wake wa kesi inayomkabili yule Mama anayetambukika Kwa jina la "afande" na wamelipeleka jalada la kesi hiyo Kwa DPP, Ili eti aamue kuipeleka au kutoipeleka kesi hiyo mahakamani!

Hivi Kwa kosa kubwa kama hili la kuagiza vijana watano waende wakambake yule Binti Kwa kile kinachoitea " rape gang" ambayo Kwa Kila mwananchi aliyesikia huu mkasa anahuzunika sana, sasa inashangaza kusikia kuwa Jeshi la Polisi, limeshakamilisha upelelezi wake, lakini limepeleka jalada la kesi hiyo Kwa DPP, Ili akiamua apeleke kesi hiyo mahakamani na vile vile akiamua asiipeleke kesi hiyo mahakamani na hakuna raia yeyote mwenye mamlaka ya kumuhoji, Kwa nini hajapeleka kesi hiyo mahakamani!😚

Hii sheria ni mbovu sana, ambayo ilitungwa maalum Kwa kuwakinga baadhi ya watu mashuhuli nchini, Ili hata wakitenda makosa makubwa ya jinai ya aina Gani, Ili wajue kuwa wanayo kinga Kwa DPP.

Eti sheria hiyo imempa mamlaka hayo ya kupeleka au kutoipeleka kesi yoyote Ile na Wala asiulizwe sababu za kutoipeleka kesi yoyote mahakamani!

Hawa watawala wetu, wasitufanye sisi watanzania wote kuwa ni wajinga sana, kiasi Cha kututungia sheria za aina hiyo za ubaguzi wa dhahiri ambapo DPP ataangalia hadhi ya mtuhumiwa na kuamua kutoipeleka kesi yake mahakamani na kuamua kupeleka kesi za walala hoi pekee wasio na kinga hiyo ya DPP na kupeleka kesi zao mahakamani!

Hii sheria inaji-contradict na sheria mama ya Katiba ya nchi, inayosema kuwa watu wote nchini, wako sawa mbele ya sheria.

Nitoe wito Kwa waheshimiwa wabunge wetu, wapeleke muswada wa dharura Bungeni, Ili kuibadili sheria hii, ambayo inaonyesha upendekeo wa dhahiri Kwa watu wachache, wenye hadhi mbalimbali hapa nchini.

Mungu ibariki Tanzania
Naunga mkono hoja
-
P
 
Mimi niliona ujinga unafanyika pale kwenye kesi ya ugaidi Mbowe na wenzake, DPP gafla akawa hana nia ya kuendelea na kesi ile akaamrisha ukomo wa kesi kusikilizwa.

Yaani kama ni betting anachokifanya DPP ana cash out mikeka inayotaka kuchanika,
 
Nchi kadhaa duniani especially the Commonwealth ma-DPP wana madaraka hayo na sio Tanzania peke yake.
Commonwealth ni mungu? Uhalifu nchi za Commonwealth unalingana..mbona unajitoa ufahamu wakati majibu yako wazi..wewe unakula machungwa uck kwa sabb walimu wako wanakula machungwa ucku..ni jibu la mtu anayefikiri kweli..?
 
Kuifuta ni ngumu sababu inawasaidia watawala kuzuia ma kesi kesi yanayotaka kuwaumbua.

Wanamtumia DPP kazi kwisha.
Hiyo ni kuvunja Katiba ya nchi, ambayo inasema raia wote wako sawa Kwa mujibu wa Katiba ya nchi
 
Hiyo ni kuvunja Katiba ya nchi, ambayo inasema raia wako sawa Kwa mujibu wa Katiba ya nchi
Hata wakivunja tatizo lipo wapi, siku zinasonga na wanakula bata madarakani.

As long as wananchi aka wenye nchi wamelala fofofo kama ilivyo sasa tatizo litoke wapi.

Kutawala watu wasiojielewa huwa si kazi ngumu.
 
Hata wakivunja tatizo lipo wapi, siku zinasonga na wanakula bata madarakani.

As long as wananchi aka wenye nchi wamelala kama ilivyo sasa tatizo litoke wapi.
Lakini watawala wetu wanapaswa kufahamu kuwa Kwa kuweka ubaguzi wa aina hiyo wa wazi kabisa, watasababisha siku mbayo wananchi wataamka na kutambua haki zao, usalama wa nchi uwe mashakani😗
 
Mimi niliona ujinga unafanyika pale kwenye kesi ya ugaidi Mbowe na wenzake, DPP gafla akawa hana nia ya kuendelea na kesi ile akaamrisha ukomo wa kesi kusikilizwa.

Yaani kama ni betting anachokifanya DPP ana cash out mikeka inayotaka kuchanika,
Kutokana na sheria hiyo ya Mkurugenzi wa mashtaka nchini (DPP) kuwa na mamlaka makubwa ya kupeleka au kutoipeleka kesi, au uwezo wa kutamka tu hana Nia ya kuendelea na kesi yoyote, inatoa mwanya wa kuwabambikia kesi raia wasio Kwa DPP kubariki hatua ya kubambikiws kesi ya aina yoyote Ile, kama ilivyotokea katika kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, alivyobambikiwa na kesi ya ugaidi!😚
 
Miongoni mwa sheria mbovu sana zilizopo nchini ni inayompa mamlaka DPP ya kuweza kupeleka au kutopeleka kesi yoyote ya jinai, inayomkabili mwananchi yeyote na asitoe sababu za kutoipeleka kesi yoyote Ile mahakamani!

Hii ni sheria mbovu sana, ambayo ilitungwa Kwa nia ya kuwafanya baadhi ya wananchi kuwa ni "untouchables"

Nalielezea hili baada ya Jeshi la Polisi, kutamka hadharani, kuwa limeshakamilisha uchunguzi wake wa kesi inayomkabili yule Mama anayetambukika Kwa jina la "afande" na wamelipeleka jalada la kesi hiyo Kwa DPP, Ili eti aamue kuipeleka au kutoipeleka kesi hiyo mahakamani!

Hivi Kwa kosa kubwa kama hili la kuagiza vijana watano waende wakambake yule Binti Kwa kile kinachoitea " rape gang" ambayo Kwa Kila mwananchi aliyesikia huu mkasa anahuzunika sana, sasa inashangaza kusikia kuwa Jeshi la Polisi, limeshakamilisha upelelezi wake, lakini limepeleka jalada la kesi hiyo Kwa DPP, Ili akiamua apeleke kesi hiyo mahakamani na vile vile akiamua asiipeleke kesi hiyo mahakamani na hakuna raia yeyote mwenye mamlaka ya kumuhoji, Kwa nini hajapeleka kesi hiyo mahakamani!😚

Hii sheria ni mbovu sana, ambayo ilitungwa maalum Kwa kuwakinga baadhi ya watu mashuhuli nchini, Ili hata wakitenda makosa makubwa ya jinai ya aina Gani, Ili wajue kuwa wanayo kinga Kwa DPP.

Eti sheria hiyo imempa mamlaka hayo ya kupeleka au kutoipeleka kesi yoyote Ile na Wala asiulizwe sababu za kutoipeleka kesi yoyote mahakamani!

Hawa watawala wetu, wasitufanye sisi watanzania wote kuwa ni wajinga sana, kiasi Cha kututungia sheria za aina hiyo za ubaguzi wa dhahiri ambapo DPP ataangalia hadhi ya mtuhumiwa na kuamua kutoipeleka kesi yake mahakamani na kuamua kupeleka kesi za walala hoi pekee wasio na kinga hiyo ya DPP na kupeleka kesi zao mahakamani!

Hii sheria inaji-contradict na sheria mama ya Katiba ya nchi, inayosema kuwa watu wote nchini, wako sawa mbele ya sheria.

Nitoe wito Kwa waheshimiwa wabunge wetu, wapeleke muswada wa dharura Bungeni, Ili kuibadili sheria hii, ambayo inaonyesha upendekeo wa dhahiri Kwa watu wachache, wenye hadhi mbalimbali hapa nchini.

Mungu ibariki Tanzania
DPP ilitakiwa kuwa mahakani sio jeshi la polisi wala teuzi ya serikali ya mtu yoyote. yani nyani ana mpa kuwa DPP ngedere
 
Hata wakivunja tatizo lipo wapi, siku zinasonga na wanakula bata madarakani.

As long as wananchi aka wenye nchi wamelala fofofo kama ilivyo sasa tatizo litoke wapi.

Kutawala watu wasiojielewa huwa si kazi ngumu.
Lakini hao watawala wanapaswa watambue kuwa Kila chenye mwanxo hapa Duniani kina mwisho
 
Back
Top Bottom