Sheria Kuu Kumi za Ulimwengu na Akili (10 Laws of the Mind and Universe/Universal Laws)

Sheria Kuu Kumi za Ulimwengu na Akili (10 Laws of the Mind and Universe/Universal Laws)

HAKIKA! sijapata kuona mwalimu mzuri, mpole,mcheshi, mwenye hekima, busara, anayejua nini amfundishe mwanafunzi, asiyekuwa mchoyo wa maarifa aliyo nayo nk: niishie tu kwa kusema kuwa wewe ni mwalimu mwema. Kwa jinsi nimesoma kwa utaratibu sana yameniingia kweli kweli. Kumbe kwa kusoma tu haya unakuwa na uwezo wa kumtazama mtu na ukajua mawazo anayowaza. Shukrani sana mkuu.

Nashukuru sana ndugu yangu.

Labda nikupe somo moja zuri, mimi sina tofauti na wewe, ninapotumia muda wangu kushare ninachokifahamu ninafurahi kwani SIAMKI peke yangu, bali TUNAAMKA wengi. Elimu yangu siipati kwa kigezo kuwa nimebarikiwa kuliko wanadamu wengine wasiojua, bali mimi ni mwanadamu wa kawaida na mwenye thamani sawa na wanadamu wote. Ninachokielekeza sio kilichopo nje yangu bali kila mtu ana jibu hilo ndani lakini anakuwa amefungwa na hali na vitu vichache kuona utajiri walionao.

Asante sana ndugu yangu.
 
Kwanza ubarikiwe mkuu Appolo kwa mada adimu na za thamani kama hizi,

Naomba ku declare interest na mimi mkuu usinisahau ili twende wote,japo sii kazi yako lakini utukumbuke mkuu

Long live jamii forum na wakuu wote kama wewe.

Asante sana ndugu yangu, nitakutag katika mada zifuatazo.

Long Live Jamii Forum kwani tunajifunza mengi zaidi.
 
Kwamba karma yang ikiwa safi italudi sehemu nliokuwa kabla ya kuzaliwa ni wapi uko .....

Asante sana mkuu, nimefurahi kwa swali zuri.

Ni sehemu ambayo ni vigumu kukuelekeza kwani ni vigumu kuelekezana kuhusu hilo.
Mfano ukiwa haujawahi kufika Los Angeles Marekani, mtu akikuelezea palivyo utaelewa? Utajikuta unatengeneza Imagination au fikra za kuwaza palivyo kwa uelewa wako. Lakini Experience yoyote hauwezi ukahadithiwa, experience lazima nawe uiexperience.

Kwa kifupi ni sehemu ambayo tunapaswa kuishi katika njia sahihi, kujitambua na kuamka. Ukishaamka ndipo utapata majibu yote uliyonayo. Walimu wanachokifanya ni kukuonyesha njia tu, lakini wa kuipita njia hiyo ni wewe tu na sio mwingine.

Asante.
 
Asanteni sana kwa wale wote walioshiriki kuchangia hii mada, kama una maswali zaidi karibu, share swali lako halafu tushirikiane pamoja kuelekezana.

Nitaweka Law ya pili na tutaendelea kuizungumzia kila mmoja achangie mtazamo wake.

Asanteni sana.
 
Asanteni sana kwa wale wote walioshiriki kuchangia hii mada, kama una maswali zaidi karibu, share swali lako halafu tushirikiane pamoja kuelekezana.

Nitaweka Law ya pili na tutaendelea kuizungumzia kila mmoja achangie mtazamo wake.

Asanteni sana.

yan bora ukose kula kuliko hi kitu, dah we jamaa upo dunian kwa sababu maamul.
 
Nashukuru sana ndugu yangu.

Labda nikupe somo moja zuri, mimi sina tofauti na wewe, ninapotumia muda wangu kushare ninachokifahamu ninafurahi kwani SIAMKI peke yangu, bali TUNAAMKA wengi. Elimu yangu siipati kwa kigezo kuwa nimebarikiwa kuliko wanadamu wengine wasiojua, bali mimi ni mwanadamu wa kawaida na mwenye thamani sawa na wanadamu wote. Ninachokielekeza sio kilichopo nje yangu bali kila mtu ana jibu hilo ndani lakini anakuwa amefungwa na hali na vitu vichache kuona utajiri walionao.

Asante sana ndugu yangu.



Mkuu,

Shetani ameshika akili za watu, na kwakufanya hivyo amefanikiwa ku control maisha ya binadamu wengi sana.

Tumepewa uwezo mkubwa sana, lakin hatujui kama tunao huo uwezo ndio maana mpaka kesho binadamu wengi ni watumwa wa Mali na Fedha. Kwasababu tunaamini true happiness comes from wealth.

Ndio maan matajiri wengi ni wagonjwa, hatufuati kanuni.

Asante kwa elimu. Kanuni ya pili inatoka lini?
 
Mkuu APOLLO yapili itatoka lini? Nipo tangu jana nikiingojea
 
Mkuu,

Shetani ameshika akili za watu, na kwakufanya hivyo amefanikiwa ku control maisha ya binadamu wengi sana.

Tumepewa uwezo mkubwa sana, lakin hatujui kama tunao huo uwezo ndio maana mpaka kesho binadamu wengi ni watumwa wa Mali na Fedha. Kwasababu tunaamini true happiness comes from wealth.

Ndio maan matajiri wengi ni wagonjwa, hatufuati kanuni.

Asante kwa elimu. Kanuni ya pili inatoka lini?

Asante sana ndugu yangu, Kanuni ya pili imeshatoka. Nasubiria Mods waipitie then itakuwa Public.

Karibu sana.
 
Asante sana ndugu yangu, nitakutag katika mada zifuatazo.

Long Live Jamii Forum kwani tunajifunza mengi zaidi.

Nimeona mada ya pili, lakini nimesoma pia na ya kwanza; ningependa kusoma zote zinazofuata, tafadhali nitag na mimi ili nisipitwe!!
 
Asante sana mkuu, nimefurahi kwa swali zuri.

Ni sehemu ambayo ni vigumu kukuelekeza kwani ni vigumu kuelekezana kuhusu hilo.
Mfano ukiwa haujawahi kufika Los Angeles Marekani, mtu akikuelezea palivyo utaelewa? Utajikuta unatengeneza Imagination au fikra za kuwaza palivyo kwa uelewa wako. Lakini Experience yoyote hauwezi ukahadithiwa, experience lazima nawe uiexperience.

Kwa kifupi ni sehemu ambayo tunapaswa kuishi katika njia sahihi, kujitambua na kuamka. Ukishaamka ndipo utapata majibu yote uliyonayo. Walimu wanachokifanya ni kukuonyesha njia tu, lakini wa kuipita njia hiyo ni wewe tu na sio mwingine.

Asante.

Naomba kukazia kidogo hapo mkuu,kuna mwalimu wangu wa martial arts aliniambia kitukamaicho.na allisemaya kua"learn the way,but find your own way".

Kwa sasa napata picha mkuu na nafikiri hii nikwa vitu vyoote unavyofanya hapa duniani.
 
Back
Top Bottom