T-King
Senior Member
- Feb 5, 2012
- 172
- 100
utakuwa wa BK wewe, sasa ya kizungu ikiwa ndefu haikuchoshi?...dah!Sawa mkuu nashukuru....ngoja niisome maana niliipitia tu juu juu.... siku hizi naonaga uvivu kusoma mada za Kiswahili hasa zikiwa ndefu kidogo nahisi ninamajini ya kizungu




