Sheria Kuu Kumi za Ulimwengu na Akili (10 Laws of the Mind and Universe/Universal Laws)

Sawa mkuu nashukuru....ngoja niisome maana niliipitia tu juu juu.... siku hizi naonaga uvivu kusoma mada za Kiswahili hasa zikiwa ndefu kidogo nahisi ninamajini ya kizungu
utakuwa wa BK wewe, sasa ya kizungu ikiwa ndefu haikuchoshi?...dah!
 
Nimekuja kugundua kuwa hii ilikuwa ni elimu pana sana niliyokuwa nimeelezea katika posts zangu nilizowahi kupost.

Pia ninashukuru sana wale wote waliosoma na kupata utambuzi.

Mbarikiwe sana.
 
Nimekuja kugundua kuwa hii ilikuwa ni elimu pana sana niliyokuwa nimeelezea katika posts zangu nilizowahi kupost.

Pia ninashukuru sana wale wote waliosoma na kupata utambuzi.

Mbarikiwe sana.
Uzi huu upo vzr sana Apollo naomba usinsahau na kila unapotoa nondo mpya
 
Nimekuja kugundua kuwa hii ilikuwa ni elimu pana sana niliyokuwa nimeelezea katika posts zangu nilizowahi kupost.

Pia ninashukuru sana wale wote waliosoma na kupata utambuzi.

Mbarikiwe sana.
Good
 
Nimekuja kugundua kuwa hii ilikuwa ni elimu pana sana niliyokuwa nimeelezea katika posts zangu nilizowahi kupost.

Pia ninashukuru sana wale wote waliosoma na kupata utambuzi.

Mbarikiwe sana.
Ni elimu kubwa sana mkuu mfano wake hakuna. Mimi nimeamua kufuatilia post zako zote mdogo mdogo nikimaliza ndio natoa maoni yangu.
 
Asante sana mtoa mada nakutakia kila la heri.

Nilichojifunza katika mada hii ni nguvu ya karma,umeelezea kwa ufasaha sana japo ni elimu ya utamaduni wa jamii nyingine ya mashariki huko lakini kimantiki inaendana kabisa na maisha ya kawaida ya binadamu ya kwamba kutenda kunena ba kuwaza mema. Na haina mpishano na mafundisho yetu tunayopewa katika dini hizi zetu.

Pili nimejifunza ya kwamba katika akili ya mwanadamu ndiko kunakozaliwa kila kitu, iwe ni upendo furaha amani mafanikio kama ya afya njema utajiri nk.
Kwamba katika akili ndipo inapozaliwa imani na kuijenga hio imani kwa jinsi inavyotakiwa dhidi ya Mungu.

Kwamba jambo lolote ukilizingatia kwa kuwekea akili yako kwa kiasi kikubwa hilo jambo litakuwa .

General nimejifunza kila tokeo duniani limeanzia katika akili yaani wazo au fikra ndio likaja katika uhalisia.
Ila hio akili inasheria zake na zikifuatwa kikamilifu ndio hayo yatatokea.
Ni zipi hizo sheria?
Nafuatilia sasa katika mada zinazoendelea
Asante Appolo na ubariwe.
 
Endelea baasi kutoa elimu hii adimu.
Nimekuja kugundua kuwa hii ilikuwa ni elimu pana sana niliyokuwa nimeelezea katika posts zangu nilizowahi kupost.

Pia ninashukuru sana wale wote waliosoma na kupata utambuzi.

Mbarikiwe sana.
 
Nimekupata vema hapa
 
Apollo; ahsante sana kwa somo zuri ila nashangaa namba mbili link haifungui; kulikoni?
 
Apollo; ahsante sana kwa somo zuri ila nashangaa namba mbili link haifungui; kulikoni?
Pole sana. Nimecheck naona haifunguki. Will see what I can do to assist. Pole sana.
 
Kila siku napita hapa lakini naona bado ina mapungufu. Kulikoni?
 
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…