Sheria mojawapo ya Maskini inasema: Usionyeshe wala usi-post Mafanikio yako

Maskini sometimes ni washenzi sana.
Wanakesha page za kina Mange na Manara, Wema na Bichuka kuangalia picha za wenzao na kuzitamani lakini wao wao wanakwambia usimuonyeshe mwenzio mafanikio yao.
Sasa wajiliza kwaninimtu anunue simu ya 3 milioni na kamera nzuri ili apoge picha na kuziweka chini ya kitanda au ili akifa watu wakate na kuweka X?

Maskini hataki mwenzake afanikiwe na huwa ndio wa kwanza kuwa na husda.
 
Kuna watu wana roho za hasada wakikuona akakunenea vitu haviendi
Kama ushagundua Hata kama kuna deal ukifanya kimya kimya linatiki sasa liseme kabla kwa watu
Kama kufanya mambo yako kimya kimya ni umaskini niiteni maskini tena ile venye mnaita absolute
 
Kuifanya vitu kimya kimya huwa vinafanikiwa zaidi
Unajifunzia wapi kufanya hivyo vitu kama si mtu ameposti?
Diamond anaimba kimya kimya?
Bakhresa anauza kimya kimya?
Whozu, vunja Bei wanafanya kimya kimya?
shishi Food anafanya kimya kimya?


Duka la Simu Kariakoo huweki simu zako status na video, unauza kimya kimya?
Huweki page ya instgram unauza kimya kimya?


#Maskini wanajichuja hapa jamvini.
 
Yaan upate frame hujaweka mzigo ushapost, ununue Bajaj ushapost bladifavkyen
Maskini hawataki mtu aposti, ila kila siku wana bando wanakesha kwenye page za kina mange na diamond.
Utakuta maskini anayekwambia usiposti yeye ni follower wa Mange na ame- like lile li benzi la mange G-WAGON.
 
Maskini hawataki mtu aposti, ila kila siku wana bando wanakesha kwenye page za kina mange na diamond.
Utakuta maskini anayekwambia usiposti yeye ni follower wa Mange na ame- like lile li benzi la mange G-WAGON.
Mm siwezi mpangia mtu apost au asipost lkn kushare mambo ni hulka binafsi.....Mimi binafsi siweziiii
 
Sasa tukuelewe vipi mkuu? Tushike lipi kati ya hili la leo ua la kwenye uzi mwingine uliosema tuwe wasiri.
Thread 'Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe' Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Mipango na mikakati ndio hukupa utajiri. Nafikiri ukisoma hiyo mada utajua ujumbe ulikuwa upi.
Utajiri haujawahi kufichwa ni kama nuru. Kadiri unavyouficha ndiyo unavyojidhihirisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…