NABEEL SADIO
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 352
- 580
Sema Rais ajayeMara mia kuliko kusikiliza porojo za yule mropkaji kutoka ubeligiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema Rais ajayeMara mia kuliko kusikiliza porojo za yule mropkaji kutoka ubeligiji
Sema ccm hamuwezi mpigia kura LISSU Ila watanzania wenye asili ya nchi yao watampa tumechoka kuongozwa n wageni[emoji3]Mwambieni mropokaji, Tanzania hatuwezi kuchagua pandikizi la Mabeberu
Mkuu jikite kwenye hoja yakoUnaonaje masaa yote tukionyesha vipindi vya Tunatekeleza ?
Kwa Tume hii ya uchaguzi ambayo imewekwa MFUKONI na Rais, tutarajie viroja vingi sana.Mara mia kuliko kusikiliza porojo za yule mropkaji kutoka ubeligiji
Mkuu tulia utafakari kidogo, kazi maana yake nini?Wapige marufuku vipindi vya michezo asubuhi.
Asubuhi ni muda wa kufanya kazi na kuzalisha, aatu wakiamka ni kusikiliza micuezo toka asubuhi hadi sa 7, watafanya kazi sa ngapi?
Michezo ni burudani, burudani ina mchango wa kawaida kwenye pato la taifa, hata Marekani ambako wameendelea michezo na burudani mchango wake ni 15% lakini watu hawaamki sa 12 na vipindi vya michezo hadi sa 7 mchana.
Vipindi vya michezo kuwekwa asubuhi ni kuzidi kulemaza nguvu kazi. Michezo iwe jioni baada ya kazi, sio muda wa kazi.
Mi naona Redio zifungwe kea Sababu tum vizuri kwenye uchumi wa katiVipindi vya bongo fleva navyo wangepiga marufuku,
Mziki ipigwe Kuanzia saa nane mpk kumi tu
Ova
Hayo maisha yenu ya miaka ya 80 hayo na dansi zenu msitake kutuletea aisee..Mimi ni msilikilizaji mzuri wa redio one hayo mambo ya mapenzi waliyafuta zamani hayana faida
Siku hizi usiku tunamsikilza zomboko na mziki mzuri wa dansi
Wewe taahira huwezi kunielewa.Mkuu tulia utafakari kidogo, kazi maana yake nini?
Kazi ya mwanamichezo ni kucheza. Mbona huoni kuwa ni tatizo vyombo vya habari kurusha habari wakati wa kazi? Kwa nini watu wakasome wakati wa kazi? Kwa nini watu wasafiri wakati wa kazi? Kwa nini watu watibiwe wakati wa kazi? Nk nk
Ukiitafsiri kazi kwa akili yako hapo juu, utapata ujuha bure... shirikisha ubongo.
😆😆😆😆Kuna station fulani ya mbele ilikuwa ikifika saa sita usiku wanaweka pilau kipindi hicho, Unapunguza sauti mpaka Zero unakomaa sebleni huku umeshika remote ili akitokea tu ubadili station au uzime chap mana X ilikuwa shida kupatikana
Kumbe sasa vinatakiwa kuanza saa 6 usiku badala ya saa 4 usiku , labda uchumi wa kati umesababisha watoto kuchelewa kulala .