Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 Aug 12, 2020 #41 Watakatifu wameomba sana kuhusu hili suala
Patra31 JF-Expert Member Joined Apr 24, 2020 Posts 6,918 Reaction score 13,885 Aug 12, 2020 #42 Hiyo saa 6 ni kwa maeneo gan labda!? Maana kwa baadhi ya miji saa 6 bado ni mapema sana. Et vipindi vya mapenzi viwe kuanzia saa 6!!!!! Mnasahau kuwa bado kuna apps, page na channel za mapenzi kwenye online platform ambazo zipo on mda wote
Hiyo saa 6 ni kwa maeneo gan labda!? Maana kwa baadhi ya miji saa 6 bado ni mapema sana. Et vipindi vya mapenzi viwe kuanzia saa 6!!!!! Mnasahau kuwa bado kuna apps, page na channel za mapenzi kwenye online platform ambazo zipo on mda wote