Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani Tanzania zinasema nini kuhusu Self Driving cars?

Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani Tanzania zinasema nini kuhusu Self Driving cars?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Kwa kasi ya ukuaji wa teknolojia kwenye tasnia ya magari, self driving cars sio muda itakua kitu cha kawaida.
images (7).jpeg

Kwa nchi za wenzetu, wameshajipanga kwa ilo na kua na sheria na miongozo mbalimbali ya self driving cars.
images (8).jpeg

Wana sheria zitakazo solve migogoro endapo itatokea ajali, kutakua na insurance claim endapo gari linalojiendesha likasababisha ajali nk.

Je, sio muda wa sheria na kanuni zetu kufanyiwa marekebisho au mapitio?
images (9).jpeg

Maana hazizuii wala hazitambui magari yanayojiendesha kwa level yoyote kuanzia supervised self driving au fully self driving.

Ukigoogle search self driving cars USA yanakuja magari yanayojiendesha mfano Waymo, Tesla nk.
Screenshot_20250213-184843.png

Ila ukigoogle search self driving cars Tanzania unaletewa magari ya kukodi 4*4 ya Mbugani ambayo unakodi na kuendesha mwenyewe kwa $50/day.
Screenshot_20250213-184823.png
 
Mleta mada , Self driving cars siyo kitu cha leo wala kesho . Weka miaka zaidi ya kumi ijayo ndo self driving cars zianze kusambaa duniani. USA mwenyewe bado sana sana . Achana na propaganda za mitandaoni. Labda EV lakini self driving bado sana
 
Tuwekeze kwanza miundombinu. Hiyo self drive car kutoboa Uhuru Road, Mandela Road, Nyerere Road, Kawawa Road unakutana na wingi wa boda boda na bajaji zinataka ziwahi
 
Tuwekeze kwanza miundombinu. Hiyo self drive car kutoboa Uhuru Road, Mandela Road, Nyerere Road, Kawawa Road unakutana na wingi wa boda boda na bajaji zinataka ziwahi
Uneaahau alama za barabarani zikiwemo mistari ya kutenganisha lane hakuna ama zimefutika
 
Back
Top Bottom