Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina! Tupo pamoja.......Mungu akusaidie uwakumbuke ndugu zako walio maskini zaidi kuliko hao uliokuwa unawawaza wa-kuadopt
sina matatizo yeyote ya kuzaa na siku moja nitakuja kuzaa muda utakapofika!
Ndugu labda umchukie akiwa mdogo sana hajui chochote ila kama kakua kidogo ni shida chochote utachomfanyia ni lawama tu hawaridhiki kisa tu ni ndugu. Smtime bora mtu usiyemjua kabisa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]kucha zako na za mtoto zinakatwa halafu zinasagwa zanachanganywa na maji halafu mnakunywa
Nenda kamuone afisa/ofisi ustawi wa jamii wa manispaa/halimashauri unayoishi, kaanzie hapo.utasaidiwa 100%/Mambo zenu jamani naombeni msaada kujua taratibu gani zinatakiwa kufatwa au kufanywa ili mtu aweze kuasili mtoto
Nina shida ya kuasili mtoto wa kike wa mwaka mmoja au wa miez 5
Asanteni
Asante ubarikiweNenda kamuone afisa/ofisi ustawi wa jamii wa manispaa/halimashauri unayoishi, kaanzie hapo.utasaidiwa 100%/
Heee kwanini duhkucha zako na za mtoto zinakatwa halafu zinasagwa zanachanganywa na maji halafu mnakunywa
Andika barua ya kuomba Mtoto wa kumlea sio kuasili, kisha nenda nayo halmashauri ya wilaya uliyopo baada ya hapo utajibiwa na kwenda kuhojiwa zaidi, andaa wadhamini wawili ambao ni ndugu,na Wawili wanaofanya kazi serkalini mengine utayakuta huko baada ya miezi mitatu ndio unaomba kuasili.Mambo zenu jamani naombeni msaada kujua taratibu gani zinatakiwa kufatwa au kufanywa ili mtu aweze kuasili mtoto
Nina shida ya kuasili mtoto wa kike wa mwaka mmoja au wa miez 5
Asanteni
Sawa mkuu apo nimekupata vizuri process zote naanza baada ya krismassAndika barua ya kuomba Mtoto wa kumlea sio kuasili kisha naenda nayo halmashauri ya wilaya uliyopo baada ya hapobutajibiwa na kwenda kuhojiwa zaidi, andaa wadhamini wawili wakiwa ndugu na Wawili wanaofanya kazi serkalini mengine utayakuta huko baada ya miezi mitatu ndio unaomba kuasili
Sio kila wakati ni wa masihara!kucha zako na za mtoto zinakatwa halafu zinasagwa zanachanganywa na maji halafu mnakunywa
Ukifanikiwa nijuze mie mwnyw mahitaji niliishia njianiSawa mkuu apo nimekupata vizuri process zote naanza baada ya krismass
Usihofu mkuu kwasababu ya matatzo yangu ya uzazi hope nitalifanikisha kwa bidiiUkifanikiwa nijuze mie mwnyw mahitaji niliishia njiani