OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...
Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork
Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
kuweni na huruma 🤣🤣
Wao walikoleza winooMmezidi kuiga iga hovyo, na bado mkatoa dekio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti. View attachment 2307378
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeee!!!!!!Upo sahihi kabisa....
mwana uto...ambaye hajaona jengo la nyumba anayoishi kwenye hii jezi ya kijani,ruksa kupeleka malalamiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wao walikoleza winoo
Manara alishasema Sasa, akili za kumuelewa ngowi umezitoa wapi?Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...
Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork
Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi wameseam hao Bui Bui wanamaana gani vile?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaburi la kanumba nimeliona, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haa kwenye jezi nimeona makaburi ya kinondoni[emoji28][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ntavunjika mbavu wooi.Hivi wameseam hao Bui Bui wanamaana gani vile?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Je'unahitaji nyumba au fremu ya biashara?,kwa msaada zaidi fika Avic town[emoji16][emoji28][emoji23]
Namuona manara hapo akimfokea wallace kariaHamza wa ubalozini huyu hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemuenzi, woiiiiiiiiiih
Byuti byuti. View attachment 2307425
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuona manara hapo akimfokea wallace karia
sio jezi hizo ni vinyesi tupuSasa zile ni jezi au takataka
vinyesi oyeeeeeeeeKama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...
Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork
Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
Yanga ina zuri kwako? hata ingekua aje hio jezi ungesema mbayaKwenye Press yao walipoanza kuelezea utadhani inakuja jezi ya maana,walipoonyesha kuna wana Yanga nilikuwa nimekaa nao wakapoteana gafla
Unachoongea na picha iliyoko kwenye profile yako ni tofauti jaribu kuwa na class unaweza ukawa unaichukia sana Yanga lakin kamwe Ile jezi Yao haiwez kuwa takatakaKwenye Press yao walipoanza kuelezea utadhani inakuja jezi ya maana,walipoonyesha kuna wana Yanga nilikuwa nimekaa nao wakapoteana gafla