Sheria Ngowi umetuweza mwaka huu

Sheria Ngowi umetuweza mwaka huu

Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...

Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork

Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
IMG-20220728-WA0046.jpg
ubunifu oyeeeeee
 
Upo sahihi kabisa....

mwana uto...ambaye hajaona jengo la nyumba anayoishi kwenye hii jezi ya kijani,ruksa kupeleka malalamiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeee!!!!!!
 
Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...

Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork

Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
Manara alishasema Sasa, akili za kumuelewa ngowi umezitoa wapi?
 
haa kwenye jezi nimeona makaburi ya kinondoni[emoji28][emoji23]
 
Je'unahitaji nyumba au fremu ya biashara?,kwa msaada zaidi fika Avic town[emoji16][emoji28][emoji23]
 
Hamza wa ubalozini huyu hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamemuenzi, woiiiiiiiiiih

Byuti byuti.
FB_IMG_16590380515478693.jpg
 
Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...

Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork

Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
vinyesi oyeeeeeeee
 
Kwenye Press yao walipoanza kuelezea utadhani inakuja jezi ya maana,walipoonyesha kuna wana Yanga nilikuwa nimekaa nao wakapoteana gafla
Unachoongea na picha iliyoko kwenye profile yako ni tofauti jaribu kuwa na class unaweza ukawa unaichukia sana Yanga lakin kamwe Ile jezi Yao haiwez kuwa takataka
 
Back
Top Bottom