Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Unafki ni tatizo kubwa sana linaoikumba Tanzania katika Yale matatizo matatu aliyoyasema Nyerere unafki ni la nne linaongezekaYanga ina zuri kwako? hata ingekua aje hio jezi ungesema mbaya
Ulitaka iwe na nini?Kubaabeki jezi ina nyerere, mwenge, mnara wa saa magorofa, minazi, nanga za mabaharia boti, mende, matawi ya miarobaini daah......
Aisee ndo ufukunyuaji sioMmezidi kuiga iga hovyo, na bado mkatoa dekio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] byuti byuti. View attachment 2307378
Mm vile vikaragosi na mbwembwe zao sijashangaa kabisaa ila ile mikora aisee iv karne hii unaweka ile mikora mipana kama chapatikwakweli mgema akisifiwa Sana tembo hulitia maji Sina la kusema jez zinatisha hazitamanishi hata
Si kwa ubaya viongoz wa yanga mnaweza badilisha jez hazna mvuto n kituko
Vivutio vya kihistoria yamekuwa Kama makaburi kwakweli
Tunatishana kabla hatujafa
Ni kwa ajili ya kunasa Nzi wanaofuata harufu ya kinyesi.Hivi wameseam hao Bui Bui wanamaana gani vile?[emoji23][emoji23]
Manara alishasema Sasa, akili za kumuelewa ngowi umezitoa wapi?
View attachment 2307388ubunifu oyeeeeee
Hii picha imepigwa na techno au itel ndio maana iko poaAcheni chokochoko jezi mbona kali tu hizo
Kwani hapo kwenye jezi, amebuni au amebandika picha? 😁😁😁Acha uropokaji kwani umeambiwa jezi unaenda nayo kanisani??. Ukiambiwa ubuni hata kitambaa Cha jicho lako huwezi😂
Mkuu washabiki ambao ndio wateja wa hizo jezi hawana mpango na hizo unazoziita idea< wanachoangalia ni kuvutia kwa jezi. Kwa ufupi hazivutii, na Sheria Ngowi tumemshtukia, ni Simba damu huyuKama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...
Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork
Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
Vizazi? hakuna mahali pa kuweka historia ya vizazi mkaona muweke kwenye jeziFatilia vitu siyo unalopoka jezi imebebaa vizazi kadhaaa toka malegend had kizazi cha sasa ndiomana aziz ki yupo pale maana n moja ya kizazi cha sasa
Dah! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Vizazi? hakuna mahali pa kuweka historia ya vizazi mkaona muweke kwenye jezi
[emoji2][emoji2][emoji2]Kwenye Press yao walipoanza kuelezea utadhani inakuja jezi ya maana,walipoonyesha kuna wana Yanga nilikuwa nimekaa nao wakapoteana gafla