Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,889
Jezi au sare za kuchezea mpira?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, umeua kabisaJezi ina mitego ya buibui kwa ajili ya kunasa Nzi wasisogee kwenye harufu ya kinyesi chao.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan mmeamua muwajengee vibwengo na misukule yote nyumba kwenye hizo jezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia Ile Misukule Ya jezi Za zamani ndo imeingia ndani kwenye Mijengo inayoonekana jezi Za Mwaka huu...!
Kitu ambacho sina hakika nacho ni iwapo harufu itakuwa imeisha..!
Sasa unalia nn wee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku zikiletwa jezi za Simba, Yanga nao waje wakosoe kama mnavyofanya bila akili. Aziz Ki kaonyeshwa kwenye video si kwa sababu jina lake liko kwenye jezi. Ameonyeshwa kwa sababu yeye ndo ametumika kama Modo kuitangaza jezi, muwe mnaelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mnara wa posta.Amewaweza Katia majengo yote ya kariakoo[emoji1787]
Tujiandae kuhesabuView attachment 2307308
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makabuli.Sura za kuzimu kabisa hiziView attachment 2307360
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madekio hoyeeeeeeh!!!!Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...
Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork
Siyo mbaya mkisubiria zile za kudesa kila kitu kutoka kwa akina Arsenali na Man U.kwakweli mgema akisifiwa Sana tembo hulitia maji Sina la kusema jez zinatisha hazitamanishi hata
Si kwa ubaya viongoz wa yanga mnaweza badilisha jez hazna mvuto n kituko
Vivutio vya kihistoria yamekuwa Kama makaburi kwakweli
Tunatishana kabla hatujafa
Sasa hizo jezi ziko wapi?
Upo sahihi kabisa....hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork