Sheria Ngowi umetuweza mwaka huu

Sheria Ngowi umetuweza mwaka huu

Nasikia Ile Misukule Ya jezi Za zamani ndo imeingia ndani kwenye Mijengo inayoonekana jezi Za Mwaka huu...!

Kitu ambacho sina hakika nacho ni iwapo harufu itakuwa imeisha..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku zikiletwa jezi za Simba, Yanga nao waje wakosoe kama mnavyofanya bila akili. Aziz Ki kaonyeshwa kwenye video si kwa sababu jina lake liko kwenye jezi. Ameonyeshwa kwa sababu yeye ndo ametumika kama Modo kuitangaza jezi, muwe mnaelewa.
Sasa unalia nn wee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
 
Sura za kuzimu kabisa hizi
1659033960539.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...

Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork

Idea hiyo hiyo ya jezi wameifanya Nike kwa away au third kit ya Barca
 
Kama sio mbunifu wa mavazi haswa wale wa prints au msanii wa uchoraji, huwezi ielewa jezi ya Yanga...

Kwangu mimi ukiweka ushabiki pembeni, jamaa katumia akili sana kwenye ubunifu, kuna kitu kidogo tu naona alipaswa arekebishe kwenye hiyo ya kijani, hayo majengo alipaswa kuyafifisha kidogo...yaani ukiitazama jezi uanze kuiona jezi then ndio ifuate hiyo artwork
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madekio hoyeeeeeeh!!!!
 
kwakweli mgema akisifiwa Sana tembo hulitia maji Sina la kusema jez zinatisha hazitamanishi hata

Si kwa ubaya viongoz wa yanga mnaweza badilisha jez hazna mvuto n kituko

Vivutio vya kihistoria yamekuwa Kama makaburi kwakweli

Tunatishana kabla hatujafa
Siyo mbaya mkisubiria zile za kudesa kila kitu kutoka kwa akina Arsenali na Man U.
 
Back
Top Bottom