Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Sheria tatu za kutumiana meseji au kuwasiliana na mpenzi wako,na hii ni mahsusi kwa wale ambao ndio wanaanza mahusiano
Sheria namba moja,je huwa ana kawaida ya kujibu meseji zako,kama huyo mpenzi wako ana utaratibu wa kujibu meseji ni sawa hapo unaweza kuendelea kumtumia meseji lakini huwa anazipuuza basi usimtumie meseji zako,na ni dalili tosha kwamba hayupo interested na wewe period
Sheria namba mbili, je huwa anatumia mda gani kujibu meseji zako,kuna yule mtu ukimtumia meseji huchukua masaa mawili hadi matatu kujibu meseji,basi nawe nenda nae sawa,akitokea kukutumia nawe nenda nae sawa vile kama anavyofanya,kama anajibu fasta nawe jibu fasta,kama baada ya dakika tano nawe hivyo hivyo,malegend tunaweza hilo ila vitoto vya elfu mbili najua hamnielewi
Sheria namba tatu, usitume meseji nyingine kama ya mwanzo haijajibiwa,maana kuna ile umetuma ya kwanza hola hakuna majibu unatuma nyingine,hapana hapo unafeli,kausha hata siku moja au mbili zipite,maadamu text ya kwanza haijajibiwa basi usitume nyingine
kama yeye anajifanya ni mtu muhimu sana hata wewe ni muhimu vile vile
Ni hayo tu!
Sheria namba moja,je huwa ana kawaida ya kujibu meseji zako,kama huyo mpenzi wako ana utaratibu wa kujibu meseji ni sawa hapo unaweza kuendelea kumtumia meseji lakini huwa anazipuuza basi usimtumie meseji zako,na ni dalili tosha kwamba hayupo interested na wewe period
Sheria namba mbili, je huwa anatumia mda gani kujibu meseji zako,kuna yule mtu ukimtumia meseji huchukua masaa mawili hadi matatu kujibu meseji,basi nawe nenda nae sawa,akitokea kukutumia nawe nenda nae sawa vile kama anavyofanya,kama anajibu fasta nawe jibu fasta,kama baada ya dakika tano nawe hivyo hivyo,malegend tunaweza hilo ila vitoto vya elfu mbili najua hamnielewi
Sheria namba tatu, usitume meseji nyingine kama ya mwanzo haijajibiwa,maana kuna ile umetuma ya kwanza hola hakuna majibu unatuma nyingine,hapana hapo unafeli,kausha hata siku moja au mbili zipite,maadamu text ya kwanza haijajibiwa basi usitume nyingine
kama yeye anajifanya ni mtu muhimu sana hata wewe ni muhimu vile vile
Ni hayo tu!