Sheria tatu za kutumiana Meseji

Sheria tatu za kutumiana Meseji

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Sheria tatu za kutumiana meseji au kuwasiliana na mpenzi wako,na hii ni mahsusi kwa wale ambao ndio wanaanza mahusiano

Sheria namba moja,je huwa ana kawaida ya kujibu meseji zako,kama huyo mpenzi wako ana utaratibu wa kujibu meseji ni sawa hapo unaweza kuendelea kumtumia meseji lakini huwa anazipuuza basi usimtumie meseji zako,na ni dalili tosha kwamba hayupo interested na wewe period

Sheria namba mbili, je huwa anatumia mda gani kujibu meseji zako,kuna yule mtu ukimtumia meseji huchukua masaa mawili hadi matatu kujibu meseji,basi nawe nenda nae sawa,akitokea kukutumia nawe nenda nae sawa vile kama anavyofanya,kama anajibu fasta nawe jibu fasta,kama baada ya dakika tano nawe hivyo hivyo,malegend tunaweza hilo ila vitoto vya elfu mbili najua hamnielewi

Sheria namba tatu, usitume meseji nyingine kama ya mwanzo haijajibiwa,maana kuna ile umetuma ya kwanza hola hakuna majibu unatuma nyingine,hapana hapo unafeli,kausha hata siku moja au mbili zipite,maadamu text ya kwanza haijajibiwa basi usitume nyingine

kama yeye anajifanya ni mtu muhimu sana hata wewe ni muhimu vile vile

Ni hayo tu!
 
Sheria tatu za kutumiana meseji au kuwasiliana na mpenzi wako,na hii ni mahsusi kwa wale ambao ndio wanaanza mahusiano

Sheria namba moja,je huwa ana kawaida ya kujibu meseji zako,kama huyo mpenzi wako ana utaratibu wa kujibu meseji ni sawa hapo unaweza kuendelea kumtumia meseji lakini huwa anazipuuza basi usimtumie meseji zako,na ni dalili tosha kwamba hayupo interested na wewe period

Sheria namba mbili, je huwa anatumia mda gani kujibu meseji zako,kuna yule mtu ukimtumia meseji huchukua masaa mawili hadi matatu kujibu meseji,basi nawe nenda nae sawa,akitokea kukutumia nawe nenda nae sawa vile kama anavyofanya,kama anajibu fasta nawe jibu fasta,kama baada ya dakika tano nawe hivyo hivyo,malegend tunaweza hilo ila vitoto vya elfu mbili najua hamnielewi

Sheria namba tatu, usitume meseji nyingine kama ya mwanzo haijajibiwa,maana kuna ile umetuma ya kwanza hola hakuna majibu unatuma nyingine,hapana hapo unafeli,kausha hata siku moja au mbili zipite,maadamu text ya kwanza haijajibiwa basi usitume nyingine

kama yeye anajifanya ni mtu muhimu sana hata wewe ni muhimu vile vile

Ni hayo tu!
Meseji zisipojibiwa mtongoz rafiki yake
 
Life is too short
Hakahaka kashort tukatumie vibaya kwa kung'ang'ania wapita njia wenzetu!? ...hapana hapana.
Wewe ni mbora sana ...mnendaa!
Yeah ni kweli kabisa,kila mtu ana umuhimu wake kwahiyo tusiruhusu mtu mwingine ajipe sana umuhimu,wanao tupenda watatupa tu umuhimu wetu tunao stahili
 
N
Sheria tatu za kutumiana meseji au kuwasiliana na mpenzi wako,na hii ni mahsusi kwa wale ambao ndio wanaanza mahusiano

Sheria namba moja,je huwa ana kawaida ya kujibu meseji zako,kama huyo mpenzi wako ana utaratibu wa kujibu meseji ni sawa hapo unaweza kuendelea kumtumia meseji lakini huwa anazipuuza basi usimtumie meseji zako,na ni dalili tosha kwamba hayupo interested na wewe period

Sheria namba mbili, je huwa anatumia mda gani kujibu meseji zako,kuna yule mtu ukimtumia meseji huchukua masaa mawili hadi matatu kujibu meseji,basi nawe nenda nae sawa,akitokea kukutumia nawe nenda nae sawa vile kama anavyofanya,kama anajibu fasta nawe jibu fasta,kama baada ya dakika tano nawe hivyo hivyo,malegend tunaweza hilo ila vitoto vya elfu mbili najua hamnielewi

Sheria namba tatu, usitume meseji nyingine kama ya mwanzo haijajibiwa,maana kuna ile umetuma ya kwanza hola hakuna majibu unatuma nyingine,hapana hapo unafeli,kausha hata siku moja au mbili zipite,maadamu text ya kwanza haijajibiwa basi usitume nyingine

kama yeye anajifanya ni mtu muhimu sana hata wewe ni muhimu vile vile

Ni hayo tu!
Naona umeamua kuuanika mfumo wangu hadharani, staki shobo kabisa.
 
Hiyo namba mbili kuna demu mmoja alidhani labda mimi mshamba wa mapenzi sijui? Aisee nikimtumia message moja hasomi mpaka week inaisha ndo anaisoma na kujibu, na mimi nikawa nafanya zaidi yake yani najibu message baada ya week mbili mpaka akakimbia mwenyewe kudadeki.
 
Hiyo namba mbili kuna demu mmoja alidhani labda mimi mshamba wa mapenzi sijui? Aisee nikimtumia message moja hasomi mpaka week inaisha ndo anaisoma na kujibu, na mimi nikawa nafanya zaidi yake yani najibu message baada ya week mbili mpaka akakimbia mwenyewe kudadeki.
Nimeipenda hii ubaya ubwela
 
Hiyo namba mbili kuna demu mmoja alidhani labda mimi mshamba wa mapenzi sijui? Aisee nikimtumia message moja hasomi mpaka week inaisha ndo anaisoma na kujibu, na mimi nikawa nafanya zaidi yake yani najibu message baada ya week mbili mpaka akakimbia mwenyewe kudadeki.
Kama alikuwa anatest mitambo ndio anajua kuwa jamaa yupo full charge.
 
Back
Top Bottom