Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #41
Unamjibu tu hapana usiniambie 😂😂Naongeza sheria ya 4 bwana Osman Bey..
Akianza na "baby nikwambie kitu" kimbia kama usain bolt au filbert bayi mzinga ni guarantee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjibu tu hapana usiniambie 😂😂Naongeza sheria ya 4 bwana Osman Bey..
Akianza na "baby nikwambie kitu" kimbia kama usain bolt au filbert bayi mzinga ni guarantee!
Ni kweli kabisa yan iko hivyoShida inakuja hachati na wewe ila wengine anachati nao hadi usiku wa manane. Unajua kabisa hapa sina changu.
Unaitika tu ndio kuna wengine hawakuombi hela,anakwambia nimekumiss nataka kukuonaUnamjibu tu hapana usiniambie 😂😂
Yep iko hivyo,mtu akiwa hayupo interested na wewe hana muda na wewe,ni kujiongeza tu chapKama mimi ambavyo najua kuwapotezea watu nisiowahitaji basi na mimi nikiona mahala sihitajiki nakula buyu kimyaa.
Nimeipenda hii,halafu atajikuta mwenyewe ana fall in love,anajiuliza huyu mwamba yupo tofauti sanaHuo ndo mfumo kwa magentle wote duniani.
Akijibu ndani ya muda flani ongeza mara mbili mbele.
Akijibu ndani ya dakika 1 jibu ndani ya dakika2,2-4
Siku moja kwa siku mbili,week moja kwa week mbili etc.
ImeishaNimeipenda hii,halafu atajikuta mwenyewe ana fall in love,anajiuliza huyu mwamba yupo tofauti sana
Iko hivi ukiwafukuzia sana wanawake huwa wanakuwa mbali na wewe kwakuwa wanaboreka hlf wanakuona upo desparate,so act kama uwepo wao sio ishu kwako,be a legend
Mara nyingi huwa najiweka kilowprofile naish really I don't fake na ukiangalia wanawake wakubwa hawapend dramaebu jaribu kujitathimini namna ya kuwa aproach,kwasababu kukataliwa ni jambo la kawaida ila ishu inakuja je unakataliwa mara ngapi
ebu badilisha namna ya kuwaingia kwa maana tumia stahili tofauti uone itakuwaje
tit for tatSheria tatu za kutumiana meseji au kuwasiliana na mpenzi wako,na hii ni mahsusi kwa wale ambao ndio wanaanza mahusiano
Sheria namba moja,je huwa ana kawaida ya kujibu meseji zako,kama huyo mpenzi wako ana utaratibu wa kujibu meseji ni sawa hapo unaweza kuendelea kumtumia meseji lakini huwa anazipuuza basi usimtumie meseji zako,na ni dalili tosha kwamba hayupo interested na wewe period
Sheria namba mbili, je huwa anatumia mda gani kujibu meseji zako,kuna yule mtu ukimtumia meseji huchukua masaa mawili hadi matatu kujibu meseji,basi nawe nenda nae sawa,akitokea kukutumia nawe nenda nae sawa vile kama anavyofanya,kama anajibu fasta nawe jibu fasta,kama baada ya dakika tano nawe hivyo hivyo,malegend tunaweza hilo ila vitoto vya elfu mbili najua hamnielewi
Sheria namba tatu, usitume meseji nyingine kama ya mwanzo haijajibiwa,maana kuna ile umetuma ya kwanza hola hakuna majibu unatuma nyingine,hapana hapo unafeli,kausha hata siku moja au mbili zipite,maadamu text ya kwanza haijajibiwa basi usitume nyingine
kama yeye anajifanya ni mtu muhimu sana hata wewe ni muhimu vile vile
Ni hayo tu!
Wewe promota wa show za abroadMeseji zisipojibiwa mtongoz rafiki yake
Huyo anakua hakufai, mi nilikua nazungumzia, tusopenda kabisa kuchat, mi ukinitext direct nakupigia tumalizane chap.Shida inakuja hachati na wewe ila wengine anachati nao hadi usiku wa manane. Unajua kabisa hapa sina changu.
Binafsi yangu mambo ya kuchat si mdau, ukinitext ntakupigia.Sio hawapo interested kuchat ila hawako interested kuchat na wewe trust me,upendo una nguvu juu ya kila kitu,hata kama hayopo hivyo ila atafanya kwa ajili yako
Doktori fasihi andishi haina zama za mawe,ndio mfumo mzuri wa kuweka kumbukumbu kwahiyo hakuna kitakacho chukua nafasi ya maandishibado mnatumiana jumbe fupi ndugu..hama izo zama za mawe mzee mwenzangu
Haina ubaya kikubwa umerespond kwa mwenzako,ndio jambo la muhimu tunalo zungumzia hapa,unaonyesha kujaliBinafsi yangu mambo ya kuchat si mdau, ukinitext ntakupigia.
Najua upendo una nguvu bt mimi hunipotezea mda zaidi kwenye call
Na ni vizur pia kwasababu mwisho wa siku utamvutia yule ambaye atakupenda kwa jinsi ulivyo na sio unajiweka high profile halafu mwisho wa siku hauishi maisha halisi,matokeo yake unaanza kupata stressMara nyingi huwa najiweka kilowprofile naish really I don't fake na ukiangalia wanawake wakubwa hawapend drama
Mkuu niliwah kupretend ety mm ni manager wa events planning creativity and design pale kwny hotel fulani kubwa kubwa🤣Kumbe muhuni naish mabiboNa ni vizur pia kwasababu mwisho wa siku utamvutia yule ambaye atakupenda kwa jinsi ulivyo na sio unajiweka high profile halafu mwisho wa siku hauishi maisha halisi,matokeo yake unaanza kupata stress
Unakipato kidogo? Unasura kama bakuli ya bati? If yes basi achana na mapenzi,jikite kwenye palizi au biashara ya mbaoDah mwanangu mimi mbona ni wote Sasa hawajibu mzee naweza omba demu baadaye nashangaa nimekula block
Sawa sawa.Huyo anakua hakufai, mi nilikua nazungumzia, tusopenda kabisa kuchat, mi ukinitext direct nakupigia tumalizane chap.