Sheria tatu za kutumiana Meseji

Agreed
 
Mkuu kuna baadhi ya watu hawapo interested kabisa na mambo ya chat.
 
Yan mzee bahat mbaya Kila naempata nakuta kanizidi umri na Ana mtoto au watoto nikitongoza ninaowazidi wananikataa
ebu jaribu kujitathimini namna ya kuwa aproach,kwasababu kukataliwa ni jambo la kawaida ila ishu inakuja je unakataliwa mara ngapi

ebu badilisha namna ya kuwaingia kwa maana tumia stahili tofauti uone itakuwaje
 
Huo muda wa kutumiana Kwanza huo mnautoa wapi?
Mi nidhani wavulana na wasichana ndio wanatumianaga message Kumbe hata watu wazima Kama nyie?

Ina maana hamna kazi za kufanya sio?
Duu hope huu ni utani,hakuna mawasiliano mepesi kama meseji,kwasababu ukiwa umeshughulishwa na mambo na mtu akikupigia inakuwa ngumu kupokea,lkn akituma text hata baadae utajibu kwa mda wako,istoshe hata ukiwa mbele ya watu wengi bado mawasiliano yako ni faragha sana
 
Ye
Muhimu ni mtu kufunguka tu " Am not interested" na sio kujikuta kama celebrity wanapofuatwa DM
Yeah tena hao huwa nawakubali sana tunaokoa mda na tunaendelea na mambo yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…