BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Wakuu mpo?
Naamini wengi tunaangalia mechi inayoelekea mwishoni kati ya Chelsea na Man City ila pia huenda tunnangalia mechi inayoendelea kati ya Lazio na Roma ambayo huenda ikaisha kwa suluhu ya 0-0.
Hivi kwa logic ya kawaida ni sahihi Chelsea na Man City walifungana 4-4 wapate point moja moja sawa na Lazio na Roma ambao huenda wakatoka 0-0?
Kwanini game za moto kama hii ya Chelsea na City wasiwe wanapewa point 2 na hii inayoisha 0-0 wakapewa point 1?
Naamini wengi tunaangalia mechi inayoelekea mwishoni kati ya Chelsea na Man City ila pia huenda tunnangalia mechi inayoendelea kati ya Lazio na Roma ambayo huenda ikaisha kwa suluhu ya 0-0.
Hivi kwa logic ya kawaida ni sahihi Chelsea na Man City walifungana 4-4 wapate point moja moja sawa na Lazio na Roma ambao huenda wakatoka 0-0?
Kwanini game za moto kama hii ya Chelsea na City wasiwe wanapewa point 2 na hii inayoisha 0-0 wakapewa point 1?