Sheria ya droo (sare) kwenye mpira wa miguu iangaliwe upya

Sheria ya droo (sare) kwenye mpira wa miguu iangaliwe upya

BUSH BIN LADEN

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
8,447
Reaction score
19,425
Wakuu mpo?

Naamini wengi tunaangalia mechi inayoelekea mwishoni kati ya Chelsea na Man City ila pia huenda tunnangalia mechi inayoendelea kati ya Lazio na Roma ambayo huenda ikaisha kwa suluhu ya 0-0.

Hivi kwa logic ya kawaida ni sahihi Chelsea na Man City walifungana 4-4 wapate point moja moja sawa na Lazio na Roma ambao huenda wakatoka 0-0?

Kwanini game za moto kama hii ya Chelsea na City wasiwe wanapewa point 2 na hii inayoisha 0-0 wakapewa point 1?
 
Wakuu mpo?

Naamini wengi tunaangalia mechi inayoelekea mwishoni kati ya Chelsea na Man City ila pia huenda tunnangalia mechi inayoendelea kati ya Lazio na Roma ambayo huenda ikaisha kwa suluhu ya 0-0.

Hivi kwa logic ya kawaida ni sahihi Chelsea na Man City walifungana 4-4 wapate point moja moja sawa na Lazio na Roma ambao huenda wakatoka 0-0?

Kwanini game za moto kama hii ya Chelsea na City wasiwe wanapewa point 2 na hii inayoisha 0-0 wakapewa point 1?
Asante kwa kuleta hoja fikirishi!! Mimi naamini lengo la mpira wa miguu ni magoli!! Ili kuongeza kiu ya kufunga magoli napendekeza ifuatavyo:
1. Timu inayofungwa ipate robo pointi kwa kila goli walilofunga. Lakini mwisho wa pointi za mtindo huu iwe ni 1.
2. Timu iliyofunga/iliyoshinda ipate pointi 4.
3. Timu iliyopata sare isiyokuwa na magoli kila timu ipate pointi 1.
4. Timu iliyopata sare yenye magoli kila timu ipate pointi 2.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom