Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Me nadhani pia ni timu inayoshinda magoli mengi kama Yanga 5 vs Makolo 1, Yanga wangepewa points 4 makolo -1 point.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakifanya hivyo mpira utakua wa hovyo sana, Lengo la mechi ni kushinda, na magoli ndiyo yanayoleta ushindi, kwaiyo ili kujihakikishia ushindi kuna mambo mawili, funga magoli mengi ili mpinzani wako asiweze kurudisha au funga goli moja alafu paki bus ili kulinda ushindi.Asante kwa kuleta hoja fikirishi!! Mimi naamini lengo la mpira wa miguu ni magoli!! Ili kuongeza kiu ya kufunga magoli napendekeza ifuatavyo:
1. Timu inayofungwa ipate robo pointi kwa kila goli walilofunga. Lakini mwisho wa pointi za mtindo huu iwe ni 1.
2. Timu iliyofunga/iliyoshinda ipate pointi 4.
3. Timu iliyopata sare isiyokuwa na magoli kila timu ipate pointi 1.
4. Timu iliyopata sare yenye magoli kila timu ipate pointi 2.
Nawasilisha.
Umewaza vzr sana mkuu nakuunga mkonoWakuu mpo?
Naamini wengi tunaangalia mechi inayoelekea mwishoni kati ya Chelsea na Man City ila pia huenda tunnangalia mechi inayoendelea kati ya Lazio na Roma ambayo huenda ikaisha kwa suluhu ya 0-0.
Hivi kwa logic ya kawaida ni sahihi Chelsea na Man City walifungana 4-4 wapate point moja moja sawa na Lazio na Roma ambao huenda wakatoka 0-0?
Kwanini game za moto kama hii ya Chelsea na City wasiwe wanapewa point 2 na hii inayoisha 0-0 wakapewa point 1?
Au hata 5-1Hujawaza kuhusu anaeshinda 6-0 kupata point tatu, sawa na anaeshinda 1-0?
[emoji38]Dah we dawa yako ni supu tu
Kumbe iliwahi kuwa hivi sikuwahi kujuaKabla ya hapo timu.iliyokuwa inashinda ilikuwa inapata pointi mbili na draw pointi moja ili kuondoa tofauti ya draw na ushindi na kuhamasisha timu zishinde ndio wakaweka mshindi apate pointi tatu. Tukiweka draw pointi mbili tutarudi kulekule.