Sheria ya droo (sare) kwenye mpira wa miguu iangaliwe upya

Me nadhani pia ni timu inayoshinda magoli mengi kama Yanga 5 vs Makolo 1, Yanga wangepewa points 4 makolo -1 point.
 
Au basi iwe point moja apewe alietoka sare ya magoli, mkitoa droo ya bila magoli msipate chochote
 
Wakifanya hivyo mpira utakua wa hovyo sana, Lengo la mechi ni kushinda, na magoli ndiyo yanayoleta ushindi, kwaiyo ili kujihakikishia ushindi kuna mambo mawili, funga magoli mengi ili mpinzani wako asiweze kurudisha au funga goli moja alafu paki bus ili kulinda ushindi.
 
Kabla ya hapo timu.iliyokuwa inashinda ilikuwa inapata pointi mbili na draw pointi moja ili kuondoa tofauti ya draw na ushindi na kuhamasisha timu zishinde ndio wakaweka mshindi apate pointi tatu. Tukiweka draw pointi mbili tutarudi kulekule.
 
Umewaza vzr sana mkuu nakuunga mkono

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya hapo timu.iliyokuwa inashinda ilikuwa inapata pointi mbili na draw pointi moja ili kuondoa tofauti ya draw na ushindi na kuhamasisha timu zishinde ndio wakaweka mshindi apate pointi tatu. Tukiweka draw pointi mbili tutarudi kulekule.
Kumbe iliwahi kuwa hivi sikuwahi kujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…