complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 421
- 1,289
Umeandika vizuri lakini umesahau 99% ajali zinasababishwa na dereva,
Dereva ndio anajua hapa nalimwaga hapa nachomoka
Niliwahi kuandika huko nyuma ukisikia story za madereva wa lorry na buses wakiwa pale magufuli au TPA basi kama una gari dogo hizi barabara utaziheshimu
Napendekezs kwa dereva aliesababisha kifo kuwe na adhabu ya KIFO refer kwa ajali za Allys Star na Train, New Force, Ahsante rabi mwaka jana mwishoni, kina Sauli karibia ma Chalinze na Kibaha na wengine
Ukihukumu mmiliki huyu dereva anaenda kampuni nyingine na anawalaza kama kawaida,
Dereva akisababisha ulavu kue na kifungo cha maisha
Adhabu zikiwa kwa wamiliki huku sio wao watoa license au kujua kiundani historia ya dereva kwangu sio sawa
Dereva ndio anajua hapa nalimwaga hapa nachomoka
Niliwahi kuandika huko nyuma ukisikia story za madereva wa lorry na buses wakiwa pale magufuli au TPA basi kama una gari dogo hizi barabara utaziheshimu
Napendekezs kwa dereva aliesababisha kifo kuwe na adhabu ya KIFO refer kwa ajali za Allys Star na Train, New Force, Ahsante rabi mwaka jana mwishoni, kina Sauli karibia ma Chalinze na Kibaha na wengine
Ukihukumu mmiliki huyu dereva anaenda kampuni nyingine na anawalaza kama kawaida,
Dereva akisababisha ulavu kue na kifungo cha maisha
Adhabu zikiwa kwa wamiliki huku sio wao watoa license au kujua kiundani historia ya dereva kwangu sio sawa