The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Siku CCM wakitoka madarakani ndiyo tutaanza kujua ni vipi CCM wametuonea na kutunyanyasa kwa muda wa miaka 60. Kwa Sasa ni vigumu mno watu kuona au kuelewa hilo ingawa Lissu na CDM wanajitahidi kuwasomesha wananchi.Gharama za uchaguzi haziihusu CCM, vyama vya upinzani vinatakiwa kuzingatia kikomo kilichowekwa na NEC vinginevyo vitachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kupoteza sifa za kugombea.
Kwani mimi nimekataa, kweli pesa ni za CCM na zingine za wanachama wa CCM.Hizo ni pesa ya ccm,magu anachota tu pesa yetu
Pesa ya serikali hiyoKwani mimi nimekataa, kweli pesa ni za CCM na zingine za wanachama wa CCM.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sasa kama wanasema hivyo si wakojoe wakalale. Hii nchi ya amani hatutaki vurugu.ndiyo maana....
Chadema wanasema #sasabasi
ACT wanasema #imetosha
Huo ni ukweli ulio wazi,tunatakiwa kuukomesha kwa kuchagua viongozi mbadala wa CCM.Walishajimilikisha mali za umma na Watanzania(wenye nchini yao).Gharama za uchaguzi ni kwa vywama vywa upinzani tu brother wala usiumize kichwa ccm haiwahusu ndiyo nchi hii tena awamu hii ilipo tufikisha
Hizo gharama zinawahusu wapinzani.Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:
*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!
* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!
* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!
* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.
* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.
* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.
Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Imagine wewe unammiliki hotel kama Malaika pale Mwanza, au Una mabasi ya abiria kama Yule mbunge msukuma wa Geita, au wewe ni Babu Tale(manager wa wasanii wanaotoa burudani kwenye kampeini) au ni Tabasamu(supplier Mkubwa wa Mafuta)ni kiasi gani utawacharge CCM Kwa services utakazowapatia?!Sasa katika maadili ya uchaguzi kwanini kuna kifungu cha gharama za uchaguzi?Kipo kama pambo tu?
Wewe jamaa uko deep Sana, kuna watu ukiwaeleza ukweli wanaporomosha matusi.Hizo gharama zinawahusu wapinzani.
Unadhani pale NEC nani mwenye msuli wa kumkosoa Meko anapofanya makosa, ndio maana uwepo wa Lissu una umuhimu sana ili kwenda nao sawa hawa mabeberu.
Diamond na Alikiba walikuwa wanapewa mil 15 kwa mkutano mmoja mwaka 2015!Kwa sasa sijui wanalipwa ngapi!Imagine wewe unammiliki hotel kama Malaika pale Mwanza, au Una mabasi ya abiria kama Yule mbunge msukuma wa Geita, au wewe ni Babu Tale(manager wa wasanii wanaotoa burudani kwenye kampeini) au ni Tabasamu(supplier Mkubwa wa Mafuta)ni kiasi gani utawacharge CCM Kwa services utakazowapatia?!
Million 15 Kwa show Ile?.. basi CCM wanapesa ya kuchezea..Diamond na Alikiba walikuwa wanapewa mil 15 kwa mkutano mmoja mwaka 2015!Kwa sasa sijui wanalipwa ngapi!
Huku kigoma nimesema nina mtu ninayefahamiana naye ambaye magari yake yalikodiwa!
That means Kwa kampeini ya wiki 3 tuu wanalipwa pesa nyingi kuliko kiinua mgongo cha Mbunge wa Jamuhuri anayefanya KAZI miaka 5...kuwa msanii ni Bora zaidi kuliko KAZI za kuomba miongozo.Million 15 Kwa show Ile?.. basi CCM wanapesa ya kuchezea..
Gharama haipo fixed, kinachoangaliwa zisitumike gharama tofauti na muda wa campaign (any amount of money is applied during campaign period) ndio maana vyama vinaruhusiwa kuchangisha wananchi (harambee)Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:
*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!
* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!
* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!
* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.
* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.
* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.
Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Mbona NEC ilishasema gharama isizidi 16 Trillion mkuu!Hata hizo nadharia zipo kisheria na NEC inajukumu la kuweka viwango vya matumizi,hicho kiasi au aina ya gharama zimewekewa ukomo.Mleta mada alimaanisha ukubwa wa matumizi yanayoendelea sasa kwenye kampeni za watawala,ukubwa wake ni halali bado kwa mujibu wa maadili ya uchaguzi?
Huu siyo ufujaji wa Mali ya umma?Tumeona viongozi wa serikali wakiwa ndani ya hizi kampeni huku wakitumia raslimali za umma siyo upendeleo?
Naamini hawatamjibu mleta mada.
Aisee sijui na wewe umeandika nini!Hebu jisome halafu ujiicheke mwenyewe!Gharama haipo fixed, kinachoangaliwa zisitumike gharama tofauti na muda wa campaign (any amount of money is applied during campaign period) ndio maana vyama vinaruhusiwa kuchangisha wananchi (harambee)
Mwanamke kama hakupendi hata umhonge utajiri wote wa dunia hakupendi tu.Ujinga tena mwingine huu hapa?
Mnashindwaje kupiga picha?
Mfano sasa, Takukuru wataanzia wapi ili kujua kwamba kuna watu wanapewa tshet bule kigoma?
Wewe unadhani kwanini Bashiru alisema safari hii hawatatumia wasanii kufanya kampeni?Pesa ni nyingi inakwenda!Million 15 Kwa show Ile?.. basi CCM wanapesa ya kuchezea..
Hicho kiasi kisizidi Trilioni 16 kwa vyama vyote au CCM pekee?Hivi hicho kiasi cha fedha si zaidi ya gharama za kujenga SGR?Mbona NEC ilishasema gharama isizidi 16 Trillion mkuu!
Sorry nafikiri ni Billion siyo Trillion. Kwa kila chamaHicho kiasi kisizidi Trilioni 16 kwa vyama vyote au CCM pekee?Hivi hicho kiasi cha fedha si zaidi ya gharama za kujenga SGR?