Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Sheria ya kuruhusu wenye mimba kuendelea na masomo,je imejaribu kutazamwa kwa upande wa mtu aliyesababisha hiyo mimba?
Wakati huyo mwanafunzi analea, mimba yake akiwa darasani je, huyo aliyetungisha, mimba atakuwa wapi?
Sheria itaruhusu mwenye mimba kuendelea na Masomo kwa kujiamulia tu au kuna taratibu za kimahakama zitafuatwa kwanza?
Msababisha mimba yeye atakua wapi wakati huo?
Na kama ikijulikana msababisha mimba ni mwanafunzi mwenzake wa kiume na yeye ataruhusiwa kuendelea na Masomo?? Kama inavyoelezwa kwenye orodha ya haki za binadamu kwamba elimu ni haki ya mtoto.
Na ile sheria ya miaka 30 sasa ndio itaendelea kama vilevile au ndio imefikia kikomo?
Wakati huyo mwanafunzi analea, mimba yake akiwa darasani je, huyo aliyetungisha, mimba atakuwa wapi?
Sheria itaruhusu mwenye mimba kuendelea na Masomo kwa kujiamulia tu au kuna taratibu za kimahakama zitafuatwa kwanza?
Msababisha mimba yeye atakua wapi wakati huo?
Na kama ikijulikana msababisha mimba ni mwanafunzi mwenzake wa kiume na yeye ataruhusiwa kuendelea na Masomo?? Kama inavyoelezwa kwenye orodha ya haki za binadamu kwamba elimu ni haki ya mtoto.
Na ile sheria ya miaka 30 sasa ndio itaendelea kama vilevile au ndio imefikia kikomo?