Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itaje hiyo sheriaTanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa
Achana na vichaa hao..Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa
Zanzibar ile si sheria ni ugaidi kama Boko Haram tu.Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa
Kwanza elewa Zanzibar ina katiba yake, mambo mengine usipende kulazimisha, Nigeria ni nchi moja tena siyo muungano ila majimbo ya kaskazini ni marufuku kula hadharani kipindi hiki. Hujaona watu wanashughulikiwa kwa viboko hadharani. Tuheshimu tamaduni za watu ilimradi haikudhuru siyo kila kitu kulalamika, tusilazimishe kufanana.Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa
Uhuru ukizidi ni utumwa. Haijakatazwa kula mwezi wa Ramadhani kama unavyotaka watu wa amini hapa. Hata huko Zanzibar unakosema. Kinachosisitizwa ni staha kwakuwa wengi wapo kwenye mungo. Chukua chakula kaa sehemu paipo na kificho kula tuone nani akupige.Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa
Sijalazimisha ndo maana nkaomba kueleweshwaKwanza elewa Zanzibar ina katiba yake, mambo mengine usipende kulazimisha, Nigeria ni nchi moja tena siyo muungano ila majimbo ya kaskazini ni marufuku kula hadharani kipindi hiki. Hujaona watu wanashughulikiwa kwa viboko hadharani. Tuheshimu tamaduni za watu ilimradi haikudhuru siyo kila kitu kulalamika, tusilazimishe kufanana.
Na ikitokea umekula HATA siku Moja kitabu linasema ufunge siku sitini ama ukasaidie watu sitini wenye shida wewe patamuTanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na Zanz. Bara mtu ana huru wa kula wakati wowote kipindi cha ramadhani lakini Zanzibar hairuhusiwi na mtu akifanya hivyo kuna sheria ya kubana. Je? Kwann iwe hivi na ni nchi mbili zenye katiba moja? Naomba kueleweshwa