Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
UHAINI ni huo hapo chiniUhaini ni nini sheikhe?
Raisi analindwa kutenda maovu yake dhidi ya wananchi kwamba akitaka kuchukuliwa hatua na wananchi waliokinai udhalimu wake eti yeye ndio anafanyiwa Uhaini wakati yeye ndio mwanzilishi iwa uhaini. Anayesababisha wananchi waingiwe na hasira ni rais, bunge na mahakama ambazo zenyewe zimepewa kinga kwamba ni sawa wawafanyiavyo wananchi ndio maana tunasema sheria ya kinga kwa raisi, makamu, waziri mkuu, jaji mkuu na spika iondoshwe ambapo 'automatically' kosa la uhaini litamgusa pia.
Huwezi kupindua nchi bila kuwa na kikundi cha kijeshi chenye silaha hao waliokamatwa wana kikundi gani chenye silaha?
(a) Article 39 (1) of the penal code states that anyone who is inside the United Republic or anywhere who tries to kill the president will have committed treason.
(b) Also, anyone who is inside the United Republic or anywhere and starts a war against the United Republic will have committed the crime of treason.
(c) Any person who is within the Republic of the Union or anywhere who creates, causes or facilitates, incites, persuades, advises, regarding the death, disables, hinders, or imprisons the president will be guilty of treason.
( d ) Any person who is in the Republic of the Union or anywhere who creates, causes or enables, incites, influences, or advises to remove the president from power illegally will have committed treason.
(e) Any person who is within the Republic of the Union or anywhere who creates, causes or enables, incites, persuades, advises to deprive the president of the honor and title of the head of state, commander-in-chief, or leader of the government will have committed the crime of treason.
(f) Any person who is within the United Republic who builds, causes or facilitates, incites, persuades, advises to overthrow the government in power, threatens the government, parliament, or the courts will have committed the crime of treason.