VeronicaAmadu
JF-Expert Member
- May 4, 2011
- 310
- 380
Inasikitisha sana wakati dunia inakwenda mbele, Tanzania tunalazimishwa kupiga rivasi kurudi nyuma! Zinatungwa sheria za kutufunga midomo na kupata sababu za kuwafunga jela watoto wa wenzao! Mungu ni wa haki na atatupigania.
Nimesoma na kukirudia hicho kifungu siamini! Hata uwe na akili chache kiasi gani unajua kimetungwa specifically for JF!
Its a sad day!
Nimesoma na kukirudia hicho kifungu siamini! Hata uwe na akili chache kiasi gani unajua kimetungwa specifically for JF!
Its a sad day!