ranyia
Senior Member
- Dec 23, 2014
- 146
- 80
Nimeufurahia sana huu muswada hakika utaturudisha kwenye mstari gud job January makamba uchochezi na chuki zisizo namsingi uongo nafikir vitapungua km sio kuisha kabisa.
Haya yanayofanyika humu tunayaona madogo ila yanaimpact kubwa sana hususan kwenye jamii yetu nakizazi kijacho hatuna sababu yakuleta habar ambazo zitaleta chuki ama udhalilishaji kila mtu anawajibu wakulinda maadili ya nchi hii sambaza upendo na siyo chuki
Haya yanayofanyika humu tunayaona madogo ila yanaimpact kubwa sana hususan kwenye jamii yetu nakizazi kijacho hatuna sababu yakuleta habar ambazo zitaleta chuki ama udhalilishaji kila mtu anawajibu wakulinda maadili ya nchi hii sambaza upendo na siyo chuki