GREATTHINKERDAIMA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 232
- 46
Tumekwishaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kuna watu wanaharibu sana jf kwa mada mbovu mbovu!
hatari
Mi nawaomba mods wawe makini kwa mada zinazoanzishwa hasa za kisiasa zisizo ushahidi wenye mashiko pia tujuzane forum nyingine tukifungiwa hapa tupate pa kukimbilia
cha msingi tupunguze tu lugha za matus...
Nadhani wadau, JamiiForums kati kuhakikisha ukweli wa habari tuko mbele sana na ndiyo maana tunaona wana-Jamiiforums wako mstari wa mbele kuhoji uhalali wa habari /thread kwa ku-demand source, picha, video, nyaraka, kuchallenge data, trends n.k hii yote ni katika kuhakikisha thread imebeba habari za kweli na za kuaminika.
Kazi ipo kwa wanasiasa kudai wapinzani ni magaidi, wanajilipua kwa mabomu ktk mikutano, wanapanga njama za kupindua serikali n.k bila uthibitisho na wala hatuoni POLISI wakifuatilia madai hayo.
Wakati kina Mange Kimambi wanaita watu Malaya, wanatusi watu pasina hatia hakuna sheria inayowaba. Wakati kila mtu siku hizi anaweza fungua blog na kutusi watu hakuna sheria inayombana.
Wapo wajinga wengi tuu wanao tuma picha za watu uchi na kuzisambaza kwenye whatsapp na hakuna sheria ya kuwabana.
Cyber law zipo kila nchi, USA leo ukidelete hard drive yako ni crime evidence alteration. Kutaka mtandao uwe free kila mtu atukane watu atakavyo sio haki.
Nadhani swala la msingi liwe ni kuifanyia marekebisho sheria ili isizuie Uhuru wa Kuzungumza. Lakini mchezo wa matusi ukome.