Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Kwa hiyo kama kuna viashiria vya ufisadi tusiseme mpaka vitokee? Mfano usiseme kuwa ikulu inahusija na ufisadi wa escrow mpaka mnikuru Gurumo atakapopasua jipu! Hivi sisi waTZ tuko sayari ipi?
Ukisema kuna viashiria vya ufisadi na ukavionesha hivyo viashiria sidhani kama utakuwa umevunja sheria kwa sababu tayari una ushahidi wa madai yako.
Mkuu kwani hiyo sheria wewe umeielewa vipi?